14
Zero Brainer Atajwa Tiktok Bora Africa
Mtengeneza maudhui kutoka Tanzania Fanuel John Masamaki, maarufu kama Zerobrainer0, ametajwa kuwa mtengeneza maudhui wa TikTok bora na wakuangaliwa zaidi kwa mwaka 2025 Africa...
13
2face Amvisha Pete Mbunge Wa Edo
Baada ya kutangaza uhusiano wake mpya na mpenzi ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Edo, Natasha Osawaru, sasa msanii huyo amemvisha pete mpenzi wake huyo.Kufuatia na video zinazoend...
12
2face Atambulisha Africa Queen Mwingine
Baada ya mwanamuziki kutoka Nigeria Innocent Idibia '2Face' kutangaza kuachana na mkewe Annie Idibia, baada ya kudumu kwenye ndoa kwa miaka 13, hatimaye ametangaza kuwa na uhu...
12
Utofauti Wa Wema Sepetu Na Nancy Sumari Upo Hapa
Nancy Sumari Miss Tanzania 2005, hadi sasa ndiye mrembo mwenye historia yenye msisimko zaidi tangu kuanzishwa kwa Miss Tanzania, hii ni baada ya kufanikiwa kutwaa taji la Miss...
23
Zari Atamani Kumuona Zuchu Young, Famous & African
Mzazi mwenzie na Diamond Platnumz, Zarinah Hassan ‘Zari the Boss Lady’ amedai kinachokwamisha Wabongo wengi kutoshiriki kwenye kipindi cha ‘Young, Famous &am...
21
Frida Amani Kukiwasha Sauti Za Busara 2025
Mwanamuziki wa Hip Hop na mtangazaji nchini Frida Amani anatarajiwa kufanya show katika tamasha la Sauti za Busara 2025, linalotarajia kufanyika kuanzia Februari 14 hadi 16.St...
18
Albamu Mpya Ya Nandy 2025 Ina Maana Gani
Na Peter AkaroStaa wa Bongofleva, Nandy tayari ametangaza ujio wa albamu yake ya pili ambayo inatarajiwa kutoka mwaka huu ikiwa ni miaka tisa tangu alipotoka kimuziki na kibao...
18
Diamond Aiteka Young Famous Africa Msimu Wa Tatu
Mwanamuziki anyeupiga mwigi ndani na nje ya nchi Diamond ameendelea kuonesha ukumbwa wake kwenye reality show ya ‘Young, Famous & African’ baada ya video zake ...
17
Diamond Anaingiza Mkwanja Huu Youtube
Mwanamuziki anayefanya vizuri ndani na nje ya nchi Diamond ameripotiwa kuingiza mkwanja mrefu kupitia mtandao wa kusikiliza na kutazama muziki wa YouTube.Kwa mujibu wa mtandao...
30
African Giant bado inasumbua Afrika
African Giant albamu kutoka kwa Burna Boy bado inasumbua kwenye kiwanda cha muziki Afrika baada ya kuweka rekodi mpya ya kuwa album ambayo imesikilizwa zaidi kwenye kwenye mta...
03
Cravalho: Moana imebadilishia maisha yangu
Mwigizaji wa Marekani Auli’i Cravalho, ambaye amejizolea umaarufu kupitia filamu ya ‘Moana 1 & 2’ amefunguka kuwa filamu hiyo imemfungulia maisha kwani i...
29
Mr. Flavour aungana na Burna Boy, Diamond
Na Asma HamisMsanii wa Nigeria na mmiliki wa label ya ‘2nite Entertainment’ Mr. Flavour ameungana na wasanii wengine kama Diamond na Burna baada ya kusaini mkataba...
27
Lady Jaydee Amwaga Wino Universal Music East Africa
Mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini Lady Jaydee ‘Jide’ ameendelea kuvuka mipaka sasa amesaini mkataba na lebo ya Kimataifa ya muziki ya ‘Universal Music East A...
15
Yanga Yamtimua Gamondi Na Msaidizi Wake
Klabu ya Yanga imemfuta kazi Kocha Mkuu wa timu hiyo, Miguel Gamondi leo Ijumaa Novemba 15, 2024.Taarifa ya kufutwa kazi kwa makocha hao imetolewa na Ofisi ya Mtendaji Mkuu wa...

Latest Post