23
Leornado Atamba baada ya kushinda tuzo Mchekeshaji bora wa mwaka
LEORNADO ATAMBA BAADA YA KUSHINDA TUZO Baada ya mchekeshaji Leornado kushinda tuzo ya 'Overall Best Comedian of the year' kupitia tuzo za Tanzania Comedy Award, ambazo zilitol...
21
Ex Wa Elon Musk Alia Kutopata Huduma Za Watoto
Grimes ambaye ni mwanamuziki na mzazi mwenza wa tajiri na mmiliki wa mtandao wa X, Elon Musk, anadai kuwa tajiri huyo hajiuhusishi na mahitaji ya mtoto huku akidai kuwa hapoke...
20
The Godson Ya Marioo Imeshindikana
Albamu ya Marioo 'The God Son' imeshindikana kwenye Chart za muziki nchini. Hii ni baada ya kukaa kwa muda mrefu kama albamu namba moja inayosikilizwa zaidi.Albamu hiyo iliyoa...
27
Darassa kuja na albamu Take Away The Pain
Mwanamuziki Darassa 'Mr Burudani' ametangaza ujio wa albamu yake mpya itakayoitwa Take Away The Pain.Albamu hiyo ambayo inatarajia kuachiwa rasmi Februari 7, 2025 ikiwa imebeb...
10
Paris Hilton Aonesha Nyumba Yake Ilivyoteketea Kwa Moto
Mtangazaji na mfanyabiashara Marekani Paris Hilton amerudi kwenye nyumba yake iliyoharibika vibaya na moto ulioteketeza makazi ya watu katika Milima ya Hollywood, California.H...
07
Will Smith Atangaza Ujio Wa The Matrix
Mwigizaji kutoka Marekani Will Smith amedokeza ujio wa kurudishwa kwa filamu ya zamani ya ‘The Matrix’ akiweka wazi kuchukua nafasi ya Neo ambaye alikuwa ni muhusi...
23
Fahamu haya kuhusu Mwanamuziki Darassa
Kwa zaidi ya miaka 10 Darassa amefanya muziki tofauti kabisa na rapa wenzake, uwezo wake wa kuchanganya vionjo na utunzi wa aina yake umefanya nyimbo zake kupendwa na watu wen...
03
Usiyoyajua kuhusu Queen Darleen na Diamond
Mwimbaji wa Bongo Fleva, Queen Darleen kwa kipindi cha takribani miaka 20 akiwa ndani ya tasnia hiyo, ana makubwa aliyoyafanya katika muziki wake kwa kiasi chake akitengeneza ...
29
Darassa amvulia kofia Marioo
Mwanamuziki anayetamba na ngoma ya ‘My Time’ Darassa amempa Marioo maua yake kufuatia na album yake iitwayo ‘The God Son’ inayotarajiwa kuachiwa leo No...
23
Kikongwe anayeutikisa ulimwengu wa mitindo
Kama umeshawahi kukutana na picha za kikongwe huyo na ukajidanganya kuwa huenda zikawa ni picha zilizotengenezwa na AI (Akili Bandia), basi utakuwa unajidanganya kwani huyu ni...
19
Diva, Niffer Kuhojiwa Na Polisi Dar
Jeshi la Polisi linawashikilia kwa mahojiano ya kina Diva Malinzi (36) na Jenifer Jovin (25) maarufu Niffer kwa tuhuma za kuchangisha fedha kwa ajili ya walioporomokewa na gho...
19
Polisi wamrudisha Niffer Dar baada ya kujisalimisha
Jeshi la Polisi limemsafirisha kwenda jijini Dar es Salaam mfanyabiashara wa mtandaoni, Jenifer Jovin maarufu Niffer baada ya kujisalimisha polisi jana.Mfanyabiashara huyo ali...
05
Ndaro ageukia kwenye muziki, ataja sababu
Masoud Kofii Mchekeshaji maarufu nchini Masatu Ndaro 'Mjeshi Kikofia' ametangaza kuja na wimbo wake mpya utakao fahamika kama "Nimpe nini" aliowashirikisha G boy na Kontawa. N...
17
Marioo aingia studio na Bien
Baada ya mwanamuziki Marioo kutua nchini Kenya na kupokelewa kwa shangwe, ameingia studio na msanii Bien.Kupitia ukurasa wa Instagram wa Marioo amechapisha picha akiwa na msan...

Latest Post