13
Mastaa 10 Bora Waliolitendea Haki Jukwaa La Super Bowl
Show ya Halftime ya Super Bowl imekuwa ikifanya vizuri miaka yote, ikianza kama tukio dogo la maandamano ya kutumia bendi na kisha kuwa tamasha kubwa linalowavutia mastaa wa m...
08
Waafrika Walioshinda Grammy Kupitia Kazi Zao
Peter Akaro Ni hivi karibuni zimetolewa tuzo za 67 za Grammy huko Marekani na kumshuhudia msanii wa Nigeria, Tems akishinda kipengele cha wasanii wa Afrika akiwa ni wa pili ku...
31
Final Squid Game Kutoka June 27
Wasambazaji wa filamu ya ‘Squid Game’ iliyoweka rekodi zaidi toka kuachiwa kwake wameweka wazi kuwa msimu wa tatu wa filamu hiyo utakuwa wa mwisho kuachiwa.Kupitia...
23
Jina La Utani Lilivyomkimbiza Madonna Uingereza
‘Material Girl’ ni wimbo wa mwanamuziki kutoka Uingereza Madonna ambao aliuachia rasmi Januari 23, 1985 wimbo huo ulimpatia mafanikio makubwa ya kimuziki pamoja na...
07
Hakuna Ushahidi Wa Kumkamata Nicki Minaj
Ombi lililowasilishwa la kumkamata rapa Nick Minaj kufuatiwa na kesi ya kumpiga aliyekuwa meneja wake wa zamani, limekataliwa kutokana na kutokuwa na ushahidi wa kutosha Msema...
04
Nicki Minaj Na Tuhuma Za Kumpiga Meneja Wake
Mwanamuziki kutoka Marekani, Nicki Minaj ameripotiwa kukabiliwa na kesi iliyofunguliwa na meneja wake wa zamani aitwaye Brandon Garrett ambaye amedai kuwa Minaj alimpiga wakat...
30
Filamu Ya Squid Game Season 2 Yaweka Rekodi
Filamu maarufu inayokimbiza zaidi Duniani kote ya ‘Squid Game’ msimu wa pili imeripotiwa kuweka rekodi kwa kushika namba moja kwenye nchi zaidi ya 93.Kwa mujibu wa...
26
Aweka rekodi ya kupiga push-up 1,575 ndani ya saa moja
Mwanamke mmoja kutoka Canada mwenye umri wa miaka 60 aitwaye DonnaJean Wilde, ameweka rekodi ya dunia kwa kupiga push-up nyingi zaidi ndani ya saa moja.Kwa mujibu wa kitabu ch...
19
Mwigizaji Fredy azikwa makaburi ya Kinondoni mastaa wenzie wamlilia
Mwili wa mwigizaji wa Bongo Movie Fredy Kiluswa aliyefariki dunia Novemba 16, 2024 wakati akipatiwa matibabu kwenye Hospital ya Ru...
08
Ukaribu wa Drake na mtoto wake wazidi kushamiri
Rapa kutoka Canada, Drake ameonekana kuwa na ukaribu zaidi na mtoto wake wa kiume aitwaye Adonis licha ya kutengana na mama wa mtoto huyo Sophie Brussaux.Kupitia ukurasa wa In...
27
Mwanamitindo afungiwa kwa kutumia pesa za misaada kula bata
Mwanamitindo kutoka Uingereza, Naomi Campbell amepigwa marufuku kuwa mdhamini mkuu wa Shirika la misaada la ‘Fashion For Releaf’ baada ya kugundulika kuwa amekuwa ...
27
Mama wa kambo wa Madonna afariki dunia
Mama wa kambo wa mwanamuziki kutoka Marekani Madonna ambaye alimlea kwa muda mrefu aitwaye Joan Ciccone amefariki dunia.Kwa mujibu wa Tmz mwanamke huyo alifariki dunia wiki hi...
23
Beyonce amkataa Kamala na Trump
Mwanamuziki wa Marekani Beyonce ameripotiwa kuwakacha wagombea Urais nchini humo Kamala Harris na Donald Trump.Haya yamejiri baada ya timu ya msanii huyo ikiwakilishwa na msem...
20
Charlie Chaplin mkali wa kuchekesho bila kutumia maneno
Kutokana na maendeleo ya teknolojia ulimwengu unaendelea kufurahia kazi za Charlie Chaplin, msanii maarufu wa vichekesho aliyezaliwa Aprili 16, 1889 London, Uingereza, alijuli...

Latest Post