22
Video Ya Why Imegharimu Sh 56 Milioni
King Bad, Marioo ametusanua kwamba Video ya wimbo wa ‘Why’ kutoka kwenye album yake ya ‘The Godson’ imeghalimu zaidi ya Sh 56 milioni mpaka kukamilika ...
22
Wakili Wa Diddy Ajiondoa Kwenye Kesi
Timu ya wanasheria wa Diddy inaonekana kuelemewa na kesi za shirikisho huku mmoja wa mawakili wake wa utetezi amepanga kujiondoa haraka katika kesi hizo.Kulingana na ‘Th...
21
Mfahamu Mwanamke Mwenye Akili Zaidi Duniani
Marilyn vos Savant (78) mwandishi na mtaalamu wa kujibu maswali kwa ufasaha kutoka Marekani anatajwa kuwa ndiye mwanamke mwenye akili zaidi duniani kutokana na uwezo wake wa k...
19
2006 Jay-Z, Beyonce Walitua Bongo Kwa Lengo Hili
Mwanamuziki Beyonce na mume wake Jay-z ni moja ya watu ambao wametembelea nchi mbalimbali kwa lengo la kutoa msaada huku nchini namba moja ikiwa ni Tanzania ambapo wawili hao ...
18
Jay Z, Familia Yake Wapokea Vitisho Vya Kuuawa
Rapa Jay Z na familia yake wanaripotiwa kupokea vitisho vya kuuawa kutokana na kesi ya ubakaji kwa binti wa miaka 13 anayodaiwa kufanya akiwa na Diddy mwaka 2000.Jay anadai am...
17
Sauti za Busara 2025 ilivyotumika kupigania amani ya dunia
Tamasha la Muziki la Sauti za Busara la 22, lililoanza Februari 14,2025, hatimaye limetamatika leo Februari 16, 2025 kwa burudani ya kusisimua kutoka kwa wasanii wa ndani na n...
15
Wimbo wa Afrika ulivyosherehesha siku ya pili Sauti za Busara
Mwenyekiti wa Bodi ya Sauti za Busara, Simai Mohammed Said, leo Februari 15, 2025 amefungua siku ya pili ya tamasha hilo katika viwanja vya Mji Mkongwe, Stone Town kisiwani Un...
14
Nyimbo Za Kutendwa Zasikilizwa Zaidi Msimu Huu Wa Valentine
Msimu wa Valentine mara nyingi husindikizwa na nyimbo za mapenzi na zilizojaa mahaba duniani kote. Lakini kwa mwaka 2025 imekuwa tofauti Barani Afrika kwani panatajwa kusikili...
14
Show Za Super Bowl Zilizotazamwa Zaidi
Moja ya show ambayo imekuwa ikifanya vizuri kila mwaka ni na Show ya Halftime ya Super Bowl ambayo imeonesha ukubwa wake katika ufuatilia kwenye mitandao ya kijamii huku show ...
12
Marekani Ilivyomuharibu Mtoto Jackie Chan
Mwigizaji na mtayarishaji wa filamu kutoka Hong Kong, Jackie Chan alifunguka kuwa moja ya sababu iliyomfanya mwanae kuharibika na madawa ya kulevya ni kutokana na mazingira ya...
11
Selena Gomez Anogewa Na Uigizaji
Selena Gomez, mwigizaji na mwanamuziki ambaye anaupiga mwingi katika tasnia ya burudani amefunguka kuwa itakuwa ni changamoto kwake kurudi kwenye muziki hii ni baada ya kufura...
08
Jux Afunga Ndoa Na Priscilla
Mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini Jux amefunga ndoa na mpenzi wake mfanyabiashara kutoka Nigeria Priscilia leo Februari 7,2025.Taarifa ya ndoa ya wawili hao imetolewa na baadh...
07
Angelina Akiri Kuvuta Sigara Pakti Mbili Kwa Siku
Mwigizaji wa Marekani Angelina Jolie alikiri kwamba alikua akivuta sigara pakiti mbili kwa siku kabla ya kuanza mazoezi ya kujiandaa kwa na filamu ya Tomb Raider. Wakati wa ma...
05
Yupi Ataiwakilisha Afrika Chati Za Billboard 2025
Kwa sasa si jambo la kushangaza tena nyimbo za wasanii wa Afrika kupenya kwenye chati maarufu duniani za Billboard na kuwafanya mastaa hao watambulike zaidi. Wapo waliofanya v...

Latest Post