Peter AkaroMsanii wa Hip Hip Bongo na Mwanasiasa kwa sasa, Joseph Mbilinyi 'Mr. II 'Sugu' alitoka rasmi kimuziki mwaka 1993, hivyo ana miaka 32 katika tasnia ambayo anajivunia...
Usiku wa kuamkia leo zimegawiwa Tuzo za Iheart Radio Music Award, zilizofanyika katika ukumbi wa Dolby Theatre, Los Angeles Marekani zikiongozwa na mshereheshaji LL Cool J. Hu...
Mwanamuziki wa K-Pop kutoka Korea Kusini, Wheesung, anaripotiwa kukutwa amefariki nyumbani kwake jana Jumatatu Machi 11, 2025. Huku polisi wakichunguza sababu ya kifo chake am...
Mkali wa Afrobeat, Davido ameripotiwa kuwa msanii pekee kutoka Afrika kutajwa katika orodha ya muziki ya Mfalme Charles III.Akishirikiana na Apple Music, Mfalme Charles III al...
Huu wimbo umemtia Diamond hasara tu!Staa wa Bongofleva kutokea WCB Wasafi, Diamomd Platnumz ameshirikiana na wasanii wengi wa kimataifa ambao wameikuza na kuitangaza chapa yak...
Rapa Malume Centrozone ameendelea kuwatambia rapa wenzake kutokana na mapokezi ambayo amekuwa akipata kila apandapo jukwaani na Country Wizzy ambaye wanaunda kundi la Moco.Map...
Kwa mujibu wa jarida maarufu la fashion na mitindo Marekani 'Complex Style' limemtaja Asap Rock kama rapa ambaye ameongoza kwa kuvaa vizuri mwaka 2024.Rock ambaye pia ni Baby ...
Mkali wa Hip-hop kutoka Marekani Diddy Combs ambaye amezuiliwa katika gereza la MDC Brooklyn, lililopo jijini New York ametajwa kuwa msanii aliyetafuta zaidi kwa mwaka 2024 kw...
Hatimaye Jarida maarufu duniani la Billboard limekamilisha orodha ya wasanii bora 50 na kumtaja Beyonce kama msanii namba 1 wa karne ya 21.Licha ya kuwa Taylor Swift ni kinara...
Mwanamuziki kutoka Nigeria Tems ameendelea kufanya vizuri katika tasnia ya burudani ambapo ametajwa kuwa msanii wa kwanza wa kike kutoka Afrika kutajwa kwenye vipengele vingi ...
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani, Chris Brown amemtolea povu msanii Tigo Fariah anayedaiwa kuiga swaga zake na kujinadi kufanana na staa huyo.
Tovuti mbalimbali zimeeleza ku...
Rapa kutoka nchini Marekani Dream Doll ametumbuiza wimbo wa mwanamuziki wa Bongo Fleva Rayvanny uitwao ‘Shake shake’ nchini Uingereza alipokuwa katika zira yake.
K...
Waandaaji wa Tuzo za BET wamemuomba radhi mkali wa R&B Usher baada ya hotuba yake kutosikika kwa mashabiki walioko majumbani.
BETiliomba radhi kwa mshindi huyo mara nane w...
Mwanamuziki wa Marekani, #UsherRaymond amemtaka mwanawe wa kiume aitwaye Naviyd aingie kwenye muziki mapema na kujisimamia mwenyewe akiwa na umri wa miaka 15.
Inaelezwa kuwa U...