08
Myamba Awapinga Wanaodai Muziki, Kuigiza Ni Dhambi
Mwigizaji na mchungaji Emmanuel Myamba ‘Pastor Myamba’ amepinga mitazamo ya baadhi ya watu kuwa kufanya sanaa ni dhambi.Akizungumza na Mwananchi katika mahojiano m...
05
Utafiti: Wanawake Huonekana Wazee Kila Jumatano Mchana
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na chapa ya ‘St. Tropez’ unaeleza kuwa wanawake wanapata mabadiliko ya kuonekana wazee kila ifikapo Jumatano hasa kuanza saa 9:30 ...
04
Hivi hapa vipengele vya wanaowania tuzo za TMA
Ikiwa jana Septemba 3, 2024 dirisha la kuwapigia kura wasanii watakaowania Tuzo za Muziki Tanzania (TMA) lilifunguliwa, hivi ndivyo vipengele 17 vinavyoshindaniwa ambavyo vime...
28
Tamasha la kuwakumbuka wasanii marehemu Septemba 7
Kwa mara ya kwanza nchini kutakuwa na tamasha la kuwakumbuka wasanii waliotangulia mbele ya haki linaloitwa ‘Faraja ya Tasnia’ liliandaliwa na mwigizaji na Mwenyek...
30
Maisha yanavyowabadilisha wasanii
Licha ya kuwa katika ulimwengu wa burudani, umaarufu na mafanikio mara nyingi hutafsiriwa kama kipimo cha furaha kwa wasanii, lakini wapo baadhi ambao wamekuwa wakiikimbia tas...
20
Tabu za Taarabu na taratibu za Dunia ya Yutyubu
Taarab katika ubora wake haikuhitaji promo na kelele nyingi kwenye vyombo vya habari. Taarab ilijiuza kwa sababu ina njia zake ambazo ni za kipekee sana. Ni muziki wenye dunia...
04
Aliyekuwa akishikiria rekodi ya kuwa mzee zaidi afariki dunia
Mwanaume mmoja aitwaye Juan Vicente Perez Mora, kutoka nchini Venezuela ambaye pia alikuwa akishirikiria rekodi ya kuwa mwanamume mzee zaidi duniani amefariki dunia akiwa na m...
01
Michael Jackson alipokutana na hayati Mwinyi Dar
Kwenye picha ni hayati Mzee Mwinyi akiwa na mfalme wa muziki wa Pop Michael Jackson alipotembelea nchini Tanzania mwaka 1992.Michael alifika Tanzania siku ya Jumatano, Februar...
01
Mastaa wamlilia hayati Mzee Mwinyi
Kufuatiwa kutangazwa kwa kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Ali Hassan Mwinyi, mastaa mbalimbali wameoneshwa kuguswa na msiba ...
01
Baba mzazi wa Bacca atua Dar kumshuhudia mwanaye
Baba mzazi wa mchezaji wa ‘Klabu’ ya Yanga, Ibrahim Bacca mzee Abdallah Hamad tayari amewasili Dar es salaam akitokea kisiwani Zanzibar kwa ajili ya kuishuhudia &l...
05
Bwax: Mimi ndiye msanii mkubwa wa singeli Tanzania
Msanii wa muziki wa singeli nchini Mzee wa Bwax amedai kuwa yeye ndiye msanii mkubwa wa singeli Tanzania amesema hayo baada ya kuitwa katika tamasha la Wasafi Festival. Mzee w...
02
Kijana akamatwa kwa kupigana na mzee wakigombania kiti
Kijana wa miaka 27, Jesse Montez Thorton atiwa mikononi mwa polisi kwa kupigana na mzee wa miaka 63 wakati wakigombania kiti kweye Ukumbi wa Sinema uliopo Pompano Beach, Flori...
27
Vyakula vya kuzingatia ukifikisha miaka 40 na zaidi
Wanasemaga uzee mwisho Chalinze mjini kila mtu kijana, sasa bwana kama unahitaji kuendelea kuwa kijana ungana nasi ili uweze kupata elimu kuhusiana na vyakula gani vitakufanya...
08
Kobe mzee duniani asheherekea kutimiza miaka 190
Kobe mwenye umri mkubwa zaidi duniani alietambulika kwa jina la Jonathan amesherehekea siku yake ya kuzaliwa kwa kutimiza miaka 190. Jonathan anadhaniwa kuzaliwa mwaka 1832 n...

Latest Post