17
Mwigizaji Kim Sae-Ron Afariki Dunia
Tasnia ya filamu na burudani Korea Kusini imepata pigo baada ya taarifa za kifo cha mwigizaji maarufu Kim Sae-ron (24) aliyefariki dunia nyumbani kwake jijini Seoul.Kwa mujibu...
17
Mwana Fa: Hakuna Mtawala Kwenye Sekta Ya Uchekeshaji
Kuelekea siku ya ugawaji wa tuzo za Tanzania Comedy Award Tarehe 22 Februari 2025, Naibu waziri wa Habari tamaduni sanaa na michezo Hamis Mwinjuma, Mwana FA amesema tukio hilo...
17
Sauti za Busara 2025 ilivyotumika kupigania amani ya dunia
Tamasha la Muziki la Sauti za Busara la 22, lililoanza Februari 14,2025, hatimaye limetamatika leo Februari 16, 2025 kwa burudani ya kusisimua kutoka kwa wasanii wa ndani na n...
15
Blinky Bill:Ladha ya muziki wa Tanzania imepotea
S.Mwanamuziki wa Kenya Blinky Bill amesema ladha ya muziki wa Tanzania imepotea. Amegusia 'Nikusaidiaje' ya Professor Jay ft Ferooz na 'Inaniuma sana' (Juma nature) Msanii wa ...
15
Leo Ni Siku Ya Wasiokuwa Na Wapenzi Duniani
Endapo jana Februari 14 ulikosa raha kwa sababu wengi walisherehekea siku ya wapendanao kwa kupokea zawadi, ujumbe wa mahaba au kwenda matembezi na wenza wao, wakati wewe haun...
15
Kina Dada Na Dunia Ya Michezo Ya Hela
Sisi wengine ni wajanja. Tunajua namna ya kuishi kwa akili na hawa viumbe. Ni agizo la 'Saa Godi' kwa sisi wanaume wote duniani. Ya kwamba tuishi kwa akili na hawa viumbe uzao...
06
Irv Gotti Afariki Dunia
Mtayarishaji muziki kutoka Marekani ambaye amewahi kufanya kazi na mastaa kama Kanye West amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 54.Taarifa ya kifo chake imetolewa kupitia uku...
05
Hakuna Barakah The Prince bila Tetemesha Records!
Ni wazi kuwa Barakah The Prince ni miongoni mwa wanamuziki waliojaliwa vipaji vikubwa hasa upande wa uandishi, sauti na melodi za kuvuti zilizofanya jina lake kuwa kubwa katik...
05
Mfahamu Mwanamke Mwenye Wivu Zaidi Duniani
Mfahamu Debbi Wood mwanamama kutoka nchini Uingereza anayetajwa kuwa mwanamke mwenye wivu zaidi duniani, kutokana na tabia yake ya kutomuamini mume wake Steve Wood.Mwanamke hu...
29
Aliyemshtaki Asap Rocky Atoa Ushahidi Mahakamani
Mshtaki wa ASAP Rocky ambaye ni rafiki yake wa zamani ASAP Relli, anaripotiwa kutoa ushahidi siku ya jana Januari 28 kwa kuelezea mashtaka mawili ya unyanyasaji aliofanyiwa No...
23
Ujio Wa Tanzania Comedy Awards; Hatua Mpya Ukuzaji Tasnia Ya Uchekeshaji
Tasnia ya maigizo ya uchekeshaji wiki hii ilipokea taarifa nzuri baada ya kuzinduliwa kwa tuzo za kwanza za wachekeshaji ambazo zi...
22
Leo Siku Ya Kukumbatiana Duniani
Kila ifikapo Januari 22 dunia inaadhimisha Siku ya Kukumbatiana. siku ambayo ilianzishwa mwaka 1986 na mchungaji Kevin Zaborney huku lengo kuu likiwa ni kupeana faraja.Siku hi...
21
Malume Anavyoigonga Hip-Hop Mpaka Kuchezeka Club
Kwa Bongo ni nadra kukuta nyimbo za hip-hop zikipendwa na wanawake ama kuchezwa club, isipokuwa za wasanii wachache ndiyo hupata bahati hiyo.Kati ya wasanii hao ni Moni Centro...
20
Wakali hawa wanainyoosha Hip Hop kwa simulizi
Mtindo wa kusimulia visa na matukio kupitia muziki hasa wa Rap au Hip Hip uliteka hisia za wengi kipindi cha nyuma, jumbe za kuelimisha ndizo zilichukua nafasi kwa asilimia ku...

Latest Post