15
Drake Alivyonunua Nyumba Ya Jirani Kisa Kelele
Rapa na mwanamuziki maarufu kutoka Canada, Drake ambaye anajulikana kwa maisha yake ya kifahari na mapenzi makubwa katika muziki, inaelezwa kuwa aliwahi kununua nyumba ya jira...
12
Msanii Mwingine Wa Korea Akutwa Amefariki Nyumbani Kwake
Mwanamuziki wa K-Pop kutoka Korea Kusini, Wheesung, anaripotiwa kukutwa amefariki nyumbani kwake jana Jumatatu Machi 11, 2025. Huku polisi wakichunguza sababu ya kifo chake am...
18
Nyumba Iliyoigiziwa Home Alone Yauzwa Rasmi
Nyumba maarufu iliyopo katika kitongoji cha Winnetka, Illinois Chicago ambayo ilitumika kuigizia filamu ya ‘Home Alone’ ya mwaka 1990 inimeuzwa rasmi.Nyumba hiyo i...
14
Fbi Wafanya Ukaguzi Nyumbani Kwa Ex Wa Lopez
Shirika la upelelezi Marekani (FBI) imefanya ukaguzi nyumbani kwa aliyekuwa mume wa mwigizaji Jennifer Lopez, Ben Affleck, hii ni baada ya maafisa hao kuonekana wakitoka nyumb...
10
Paris Hilton Aonesha Nyumba Yake Ilivyoteketea Kwa Moto
Mtangazaji na mfanyabiashara Marekani Paris Hilton amerudi kwenye nyumba yake iliyoharibika vibaya na moto ulioteketeza makazi ya watu katika Milima ya Hollywood, California.H...
08
Rich Mitindo Arudi Nyumbani Kwa Watoto Wake
Baada ya Jackline Wolper kutoa taarifa za kuachana na Mume wake kupitia mitandao ya kijamii, Rich Mitindo ameshea videos na picha zikimuonesha amerejea nchini Tanzania akitoke...
13
Diamond, Mobetto, Azizi Ki Watajwa Matukio Yaliyobamba 2024
Zimesalia siku chache tu kabla ya kuumaliuza mwaka 2024 na kuukaribisha mwaka mpya 2025. Kwenye burudani kuna matukio mengi kama ilivyo kwenye tasnia nyingine kama michezo amb...
18
Ngoma ngumu kwa Diddy, vilainishi nyumbani kwake vyageuka gumzo
Ikiwa ni siku moja imepita tangu mwanamuziki wa hip-hop Marekani Sean 'Diddy' Combs kutiwa nguvuni, ripoti mpya ya kilichokutwa kwenye nyumba zake yatolewa.Kwa mujibu wa waend...
27
Simanzi ilivyovamia nyumbani kwa Maria Carey
Mwimbaji wa muziki nchini Marekani Maria Carey (59) amethibitisha kufiwa na mama yake Patricia pamoja na dada yake mwishoni mwa wiki iliyopita.Katika taarifa yake aliyoitoa si...
04
Diddy auza nyumba yake ya Los Angeles
Mfanyabiashara na mkali wa Hip-hop Marekani Diddy Combs ameripotiwa kuuza jumba lake la kifahari lililopo jijini Los Angles kwa dola milioni 70 ikiwa ni sawa na Sh 185.8 bilio...
02
50 Cent amcheka Rick Ross baada ya kushambuliwa Canada
Mkali wa Hip-hop Marekani 50 Cent, aonekana kufurahishwa na video inayosambaa mitandaoni ikimuonesha ‘rapa’ Rick Ross akishambuliwa nchini Canada. Kupitia ukurasa ...
20
Davido amshitaki mama watoto wake
Mkali wa Afrobeats kutoka Nigeria, #Davido amemshitaki mama watoto wake aitwaye Sophia Momodu, kwa kwa kudai huduma ya malezi iiliyopitiliza ya binti yake wa kwanza, aitwaye I...
10
Jennifer Lopez na Ben wauza nyumba, Wadaiwa kuachana
Mwanamuziki wa Marekani Jennifer Lopez na mumewe Ben Affleck wanadaiwa kuachana baada ya kuuza nyumba yao waliyoijenga pamoja kwa dola 60 milioni. Kwa mujibu wa tovuti ya TMZ ...
18
Ayra: Nilinunua nyumba kwanza baada ya kupata maokoto
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria ameweka wazi kuwa kitu chake cha kwanza kununua baada ya kupata pesa ya kutosha alinunua nyumba ya ndoto zake.Ayra ameyasema hayo wakati akiw...

Latest Post