Albamu ya Marioo 'The God Son' imeshindikana kwenye Chart za muziki nchini. Hii ni baada ya kukaa kwa muda mrefu kama albamu namba moja inayosikilizwa zaidi.Albamu hiyo iliyoa...
Licha ya muziki kuhusisha usikilizaji zaidi lakini video zake zimekuwa na mchango mkubwa wa kukuza kazi za wasanii na kuwapeleka mbali zaidi. Pia zinapanua wigo wa sanaa na ku...
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na chapa ya ‘St. Tropez’ unaeleza kuwa wanawake wanapata mabadiliko ya kuonekana wazee kila ifikapo Jumatano hasa kuanza saa 9:30 ...
Mwigizaji na mwanamuziki Akon Thiam akiwa katika mahojiano na The Joe Budden Podcast ametoa maoni kuhusu mahusiano kwa kusema wanaume wanatakiwa kuwa na wanawake wengi.“...
Mwigizaji Li Lianjie 'Jet Li' amewaacha mashabiki wake midomo wazi baada ya kufunguka kuwa amemkabidhi mke wake Nina Li Chi utajiri na fedha zake zote.Mwigizaji huyo mwenye ut...
Mwanamuziki wa Hip Hop kutoka Marekani, Busta Rhymes ameripotiwa kujisalimisha kwa polisi, baada ya kumpiga mfanyakazi wake aitwaye Dashiel Gables tukio lililotokea Ijumaa, Ja...
Kocha wa Manchester City Pep Guardiola ameachana na mke wake Cristina Serra ambaye wamekaa pamoja kwa miaka 30.Guardiola ambaye anapitia kipindi kigumu kwenye kikosi cha Manch...
Mkali wa Hip-Hop kutoka Marekani, Diddy Combs anakabiliwa na kesi nyingine ya madai ya unyanyasaji wa kingono yanayodaiwa kufanyika mwaka 2000.Kwa mujibu wa hati zilizopatikan...
Mwigizaji na mwanamuziki Jennifer Lopez amedaiwa kuwa na wasiwasi na mashaka kuhusiana na aliyekuwa mume wake Ben Affleck baada ya kuondolewa kwenye nyumba yake iliyopo Pacifi...
Baada ya Jackline Wolper kutoa taarifa za kuachana na Mume wake kupitia mitandao ya kijamii, Rich Mitindo ameshea videos na picha zikimuonesha amerejea nchini Tanzania akitoke...
Rapa kutokea nchini Marekani Nicki Minaj ameshtakiwa na aliekuwa meneja wake wa zamani Brandon Garret kwa kumshambulia na kumpiga hali iliyosababisha mfadhaiko wa kihisia kwa ...
Mwanamuziki kutoka Marekani, Nicki Minaj ameripotiwa kukabiliwa na kesi iliyofunguliwa na meneja wake wa zamani aitwaye Brandon Garrett ambaye amedai kuwa Minaj alimpiga wakat...
Mwigizaji maarufu ambaye amefanya vizuri kupitia filamu ya Spider Man, Tom Holland amefunguka sababu ya kutoongozana na mpenzi wake Zendaya kwenye red carpets wakati wa uzindu...
Mwigizaji Julias Charles anayefanya vizuri kwenye tamthilia ya Huba, amesema kutokana na urefu alionao anakumbana na changamoto mbalimbali ikiwemo kwenye vyombo vya usafiri.Ju...