12
Utofauti Wa Wema Sepetu Na Nancy Sumari Upo Hapa
Nancy Sumari Miss Tanzania 2005, hadi sasa ndiye mrembo mwenye historia yenye msisimko zaidi tangu kuanzishwa kwa Miss Tanzania, hii ni baada ya kufanikiwa kutwaa taji la Miss...
01
Ishu Ya Wema Kuachana Na Whozu Ipo Hivi
Moja ya stori inayoendelea kusambaa katika mitandao ya kijamii ni kuhusiana na staa wa Bongo Movie Wema Sepetu kuachana na aliyekuwa mpenzi wake Whozu.Kutokana na wadau na mas...
25
Lulu Diva Amkingia Kifua Wema, Atoa Onyo Kwa Jamii
Mwanamuziki wa Bongo Flava, Lulu Diva anayetamba na nyimbo kama Utamu, Ona, Amezoea, Nilegeze na nyingine, amesema ifikie mahala watu waache kumuuliza Wema Sepetu kuhusu kupat...
12
Huyu ndio Wema Sepetu usiyemfahamu
Baada ya kukabidhi taji la Miss Tanzania aliloshinda mwaka 2006, Wema Sepetu alieleka nchini Malaysia aliposomea Biashara ya Kimataifa katika Chuo Kikuu cha Limkokwing, akiwa ...
01
Wema Sepetu hajarudia makosa
Mwigizaji mkongwe na mfanyabiashara Wema Sepetu ni kama amejifunza kutokana na yaliyotokea mwaka 2023 katika kumbukizi ya siku ya kuzaliwa kwake, kwani mwaka huu amefanya sher...
06
Wasanii wa Bongo wapata madini kutoka kwa mwigizaji Son Ye-jin
Waigizaji wa filamu Tanzania ambao wapo kwenye ziara nchini Korea kwa ajili ya kujifunza masuala ya filamu mapema siku ya leo walikutana na staa wa filamu Korea, Son Ye-jin na...
05
Tanzania yachaguliwa kufanya filamu na South Korea
Tanzania imechaguliwa kuwa nchi ya kwanza Africa kufanya filamu na South Korea kwa ajili ya kuunganisha soko la filamu la Tanzania na Korea.Hayo yameelezwa kupitia ukurasa wa ...
04
Wema sepetu: Filamu za tanzania hazitakuwa kama zamani tena
Baada ya mwigizaji mkongwe na aliyewahi kuwa Miss Tanzania mwaka 2006, Wema Sepetu kufika nchini Korea kwa ajili ya ziara ya mafunzo kuhusiana na mswala mazima ya tasnia ya ui...
20
Bongo Movie ilivyowapa kisogo mamisi
Tangu kuanzishwa kwa mashindano ya kusaka warembo,  Miss Tanzania mwaka 1967 tayari imepita miaka 57,  huku taji hilo likiwa limevaliwa na warembo 30 hadi kufikia mw...
26
Wolper, Batuli, Wema, Wamlilia aliyekuwa mpiga picha wa Millard Ayo
Mpiga picha na mwandishi wa habari wa #Millardayo Noel Mwingila maarufu kama Zuchy amefariki dunia leo Alfajiri baada ya kupata aj...
27
Mastaa na mitupio ya mavazi mwaka 2023
Leo katika Fashion tumekusogezea  baadhi ya wasanii waliotokelezea katika upande wa mavazi na wale ambao waliwashangaza watu kwa mitindo ya mavazi yaani walitoa booko hah...
07
Wema Sepetu: Kufa sifi lakini chamoto nakiona
Kupitia ukurasa rasmi wa Snapchat, wa The Tanzanian Sweetheart Wema Sepetu ame-share ujumbe ambao umewashitua mashabiki wengi na kuwafanya waulizane kipi kimemkuta mrembo huyo...
04
Wema, Halima Kopwe, Shilole kwa Jokate
Baadhi ya ‘mastaa’ wa kike wajitokeza kumpongeza aliyekuwa Mkuu wa Wilaya Korogwe Jokate Mwegelo baada ya kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake (UWT), am...
30
Wema: Sitofanya party tena, ningekaa kimya ningekufa
Muigizaji Wema Sepetu ameyatoa ya moyoni baada ya kile kilichotokea kwenye birthday party yake, na kueleza kuwa hatokuja kufanya tena sherehe maisha yake yote.Wema ameyasema h...

Latest Post