22
Tyga Athibitisha Kufiwa Na Mama Yake
Rapa kutoka Marekani Tyga amethibitisha kutokea kwa kifo cha mama yake mzazi aitwaye Pasionaye Nicole Nguyen, ambaye amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 53Tyga amethibitish...
18
Jay Z, Familia Yake Wapokea Vitisho Vya Kuuawa
Rapa Jay Z na familia yake wanaripotiwa kupokea vitisho vya kuuawa kutokana na kesi ya ubakaji kwa binti wa miaka 13 anayodaiwa kufanya akiwa na Diddy mwaka 2000.Jay anadai am...
15
Frida Amani Afichua Siri Ya Mafanikio Yake Kwenye Muziki
Mwanamuziki Frida Amani 'Madam President' wakati akifanya mahojiano na Mwananchi, leo Februari 15, 2025 amesema kinachofanya aandike historia kila mara kwenye muziki ni tabia ...
15
Aziz KI athibitisha ndoa yake na Hamisa
Dakika chache baada ya kiungo wa Yanga, Stephanie Aziz KI kutupia kambani chuma tatu, furaha yake imemfanya kufichua juu ya ndoa yake na mwanamitindo Hamisa Mobeto.Azizi Ki am...
10
Paris Hilton Aonesha Nyumba Yake Ilivyoteketea Kwa Moto
Mtangazaji na mfanyabiashara Marekani Paris Hilton amerudi kwenye nyumba yake iliyoharibika vibaya na moto ulioteketeza makazi ya watu katika Milima ya Hollywood, California.H...
07
Bob Marley Alivyompatia Maokoto Ya Kudumu Rafiki Yake
Miongoni mwa nyimbo kubwa za Bob Marley ni pamoja na hii ya ‘No Woman No Cry’ iliyotoka 1974 ikiwa moja ya ngoma zinazo patikana kwenye album yake ya Natty Dread.K...
23
Mtoto wa Shilole ahofia kuwa kama Mama yake
Usiku wa kuamkia leo Desemba 23,2024 imefanyika sherehe ya kumbukizi ya siku ya kuzaliwa ya msanii na mfanyabiashara Shilole ambaye aliambatanisha sherehe hiyo pamoja na kufur...
17
Martha Mwaipaja ajibu tuhuma za kumtelekeza mama yake
Tunaweza kusema Desemba 17,2024, imeanza vibaya kwa mwimbaji wa nyimbo za injili nchi Martha Mwaipaja, kufuatia tuhuma alizorushiwa na mdogo wake aitwaye Beatrice Mwaipaja, ak...
07
Mavokali anavyoiishi ndoto ya baba yake
Na Masoud KofiiMiongoni mwa wasanii wenye vipaji vya kuimba muziki ambavyo Tanzania imebarikiwa ni pamoja na Mavokali ambaye amekuwa akifanya muziki kwa namna ya tofauti. Benj...
06
Chin Bees amtuhumu Rayvanny kaiba idea yake
Mwanamuziki Chin Bees amemshutumu msanii mwenzake wa Bongo Fleva Rayvanny kuwa ameiba idea ya wimbo wa ‘Nesa Nesa’ wimbo ambao amemshirikisha Diaomnd na Khalil Har...
05
Marehemu MJ alivyotimiza ahadi ya rafiki yake
Katika usiku wa ugawaji wa Tuzo za Grammy mwaka 1984 marehemu mkali wa Pop Marekani, Michael Jackson aliwashangaza wengi baada ya kuvua miwani yake mbele ya umati wa watu.Kama...
02
Zuchu atembea na mistari ya marehemu kaka yake
Wakati wimbo wa mwanamuziki Zuchu aliomshirikisha Diamond ‘Wale Wale’ ukiendelea kufanya vizuri kwenye mitandao ya kusikiliza muziki huku ukishika nafasi ya tatu k...
07
Mtoto wa Diddy aanza kurithi vitu vya baba yake
Mtoto wa mkali wa Hip hop kutoka Marekani, Diddy, Christian Combs, maarufu kama King Combs taratibu ameanza kurithi vitu vya baba yake jambo ambalo liliwashitua mashabiki huku...
05
Diddy asherehekea siku yake ya kuzaliwa akiwa Gerezani
Watoto saba wa mkali wa Hip Hop kutoka Marekani ambaye kwa sasa yupo gerezani kwa tuhuma za unyanyasaji wa kingono, jana Novemba 4, wamesheherekea siku ya kuzaliwa kwa baba ya...

Latest Post