19
Diamond Na Heshima Yake Kwenye Muziki Wa Congo
Mwanamuziki Diamond Platnumz mbali na kutoa ngoma kali kama ‘Komasava’ lakini pia anatajwa kuiunganisha Bongo Fleva na muziki wa Congo. Huku akilete ladha tofauti ...
11
Chameleone Atoa Neno, Hali Yake Yazidi Kuimarika
Mwanamuziki Jose Chameleone ametoa shukrani kwa mashabiki wake, marafiki, na serikali ya Uganda kwa kumuunga mkono na kuwa pamoja naye wakati akipambania afya yake. Chameleone...
11
Baba Yake Jay Z Alivyoikimbia Familia
Mkali wa hip-hop, Jay-Z amekuwa akiweka wazi kuhusu maisha yake ya awali na uhusiano wake na baba yake, Adnis Reeves ambaye aliikimbia familia. Katika mahojiano aliyofanya hiv...
06
Offset Apuuzia Msimamo Wa Lebo Yake
Rapa Offset amepanga kutumbuiza katika tamasha litakalo fanyika Moscow, nchini Urusi licha ya lebo inayomsimamia Universal Music kusitisha kufanya shughuli za muziki nchini hu...
06
Kanye Amtaka Drake Asome Hotuba Kwenye Mazishi Yake
Rapa Kanye West ameweka wazi pindi atakapofariki basi angependa msanii mwenzake Drake awe msomaji wa hotuba katika siku hiyo.Kupitia ukurasa wa X (zamani twitter), Kanye amemu...
05
Kuwa Gerezani Hakumzuii Tory Lanez Kufanya Yake
Rapa wa Canada, Tory Lanez ametangaza ujio wa album yake ya 'Peterson' inayotarajiwa kutoka March 7, 2025 aliyoiandaa akiwa gerezani. Licha ya kufungwa kwake, Lanez anaendelea...
22
Tyga Athibitisha Kufiwa Na Mama Yake
Rapa kutoka Marekani Tyga amethibitisha kutokea kwa kifo cha mama yake mzazi aitwaye Pasionaye Nicole Nguyen, ambaye amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 53Tyga amethibitish...
18
Jay Z, Familia Yake Wapokea Vitisho Vya Kuuawa
Rapa Jay Z na familia yake wanaripotiwa kupokea vitisho vya kuuawa kutokana na kesi ya ubakaji kwa binti wa miaka 13 anayodaiwa kufanya akiwa na Diddy mwaka 2000.Jay anadai am...
15
Frida Amani Afichua Siri Ya Mafanikio Yake Kwenye Muziki
Mwanamuziki Frida Amani 'Madam President' wakati akifanya mahojiano na Mwananchi, leo Februari 15, 2025 amesema kinachofanya aandike historia kila mara kwenye muziki ni tabia ...
15
Aziz KI athibitisha ndoa yake na Hamisa
Dakika chache baada ya kiungo wa Yanga, Stephanie Aziz KI kutupia kambani chuma tatu, furaha yake imemfanya kufichua juu ya ndoa yake na mwanamitindo Hamisa Mobeto.Azizi Ki am...
10
Paris Hilton Aonesha Nyumba Yake Ilivyoteketea Kwa Moto
Mtangazaji na mfanyabiashara Marekani Paris Hilton amerudi kwenye nyumba yake iliyoharibika vibaya na moto ulioteketeza makazi ya watu katika Milima ya Hollywood, California.H...
07
Bob Marley Alivyompatia Maokoto Ya Kudumu Rafiki Yake
Miongoni mwa nyimbo kubwa za Bob Marley ni pamoja na hii ya ‘No Woman No Cry’ iliyotoka 1974 ikiwa moja ya ngoma zinazo patikana kwenye album yake ya Natty Dread.K...
23
Mtoto wa Shilole ahofia kuwa kama Mama yake
Usiku wa kuamkia leo Desemba 23,2024 imefanyika sherehe ya kumbukizi ya siku ya kuzaliwa ya msanii na mfanyabiashara Shilole ambaye aliambatanisha sherehe hiyo pamoja na kufur...
17
Martha Mwaipaja ajibu tuhuma za kumtelekeza mama yake
Tunaweza kusema Desemba 17,2024, imeanza vibaya kwa mwimbaji wa nyimbo za injili nchi Martha Mwaipaja, kufuatia tuhuma alizorushiwa na mdogo wake aitwaye Beatrice Mwaipaja, ak...

Latest Post