22
Mastaa wa muziki Bongo wamkazia Treyzah
Msanii wa Bongo Fleva Treyzah ameendelea kuupiga mwingi katika muziki huku akiachia ngoma yake mpya iitwayo ‘Sitaki Tena Mapenzi’.  Ufundi wake wa kuchora nyi...
22
Mfahamu Elissa Anayetamba Bongo Na Wimbo Wa Halali
Takribani miezi mitatu sasa watumiaji wa mitandao ya kijamii nchini Tanzania hususani TikTok na Instagram wamekuwa wakitumia wimbo wa ‘Halali’ katika machapisho ya...
21
Dcea Waanza Na Chid Benzi
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeanzisha mpango wa kusaidia wasanii wanaokabiliwa na uraibu wa dawa za kulevya, lengo likiwa ni kuwasaidia kupona...
15
Mfahamu Mwanaume Aliyenyoosha Mkono Zaidi Ya Miaka 50
Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni, kutana na mwanaume kutoka India aitwaye Mahant Amar Bharati Ji ambaye amenyanyua mkono wake wa kulia juu kwa zaidi ya miongo minne (k...
13
Umuhimu wa boss kuelewa changamoto za wafanyakazi wake
Inafahamika dharula kwenye maisha ya mwanadamu ni kitu ambacho hakiepukiki. Kutokana na kukwama au kupitia changamoto kuna umuhimu mkubwa kwa bosi au msimamizi kuelewa dharula...
13
Hizi ni dhambi za fasheni katika uchaguzi wa mikoba
Katika ulimwengu wa fasheni, kuna dhambi za fasheni ambazo zinajitokeza wakati wa uchaguzi wa bidhaa mbalimbali za kunogesha mwonekano wako. Dhambi hizo zipo hata kwenye upand...
13
Aliyemshtaki Jay-Z Adai Kushinikizwa Na Wakili
Baada ya rapa Jay Z kufutiwa kesi iliyokuwa ikimkabili na Diddy wakishtumiwa kumbaka binti mwenye umri wa miaka 13 mwaka 2000 kwenye tuzo za video za muziki MTV Award, Mwanamk...
13
Mfahamu Mwanaume Aliyeishi Uwanja Wa Ndege Miaka 18
Mehran Karimi Nasseri, raia kutoka Iran aliwavutia wengi baada ya kuishi katika Uwanja wa Ndege wa Charles de Gaulle, uliopo jijini Paris kwa zaidi ya miaka 18.Mwaka 1988, Nas...
12
Imetimia Miaka 2 Tangu Costa Titch Afariki
Imetimia miaka miwili tangu mwanamuziki kutoka Afrika Kusini, Costa Titch afariki dunia ambaye alifariki baada ya kuanguka jukwaani wakati alipokuwa akitumbuiza.Kupitia ukuras...
12
Masheikh watoa angalizo maudhi ya vichekesho wakati wa Ramadhan
Wakati baadhi ya wasanii wa vichekesho wakitoa maudhui mbalimbali yanayohusu Mwezi Mtukufu wa Ramadhan, wanazuoni wa dini hiyo wametoa angalizo la ujumbe na maadili katika kaz...
11
Miaka 10 Ya Wimbo See You Again
Moja ya wimbo ambao umekuwa ukikubalika zaidi hasa kipindi cha huzuni ni ‘See You Again’ uliyoimbwa na mwanamuziki Wiz Khalifa akimshirikiana na Charlie Puth.Wimbo...
08
Mastaa Watoa Neno Siku Ya Kimataifa Ya Wanawake Duniani
Leo ni siku ya kimataifa ya wanawake ambayo huadhimishwa Machi 8 ya kila mwaka duniani kote kwa lengo la kutambua haraka ambazo zinalenga kupigania usawa kujinsia, haki ya kuz...
07
Diddy Azidi Kuelemewa Na Mashitaka
Machi 6, 2025, waendesha mashtaka wa shirikisho walifungua hati mpya ya mashtaka dhidi ya Sean "Diddy" Combs, wakimtuhumu kwa kulazimisha wafanyakazi wake kufanya kazi kwa mud...
06
Kanye Amtaka Drake Asome Hotuba Kwenye Mazishi Yake
Rapa Kanye West ameweka wazi pindi atakapofariki basi angependa msanii mwenzake Drake awe msomaji wa hotuba katika siku hiyo.Kupitia ukurasa wa X (zamani twitter), Kanye amemu...

Latest Post