22
Dulla Makabila Ataja Sababu, Wasanii Wa Singeli Kumchukia
Baada ya msanii wa singeli nchini Dulla Makabila kupata nafasi ya kuongoza kwa kufanya vizuri kwenye muziki huo. Sasa ametangaza nia yake ya kufungua label ya muziki wa singel...
22
Zingatia Haya Unapotaka Kununua Ring Light
1. Nguvu ya Mwanga Angalia ikiwa 'ring light' ina uwezo wa kubadili mwangaza. Hii itakuwezesha kudhibiti mwanga kulingana na mazingira yako na mwelekeo wa picha unayotaka. Ngu...
19
Zingatia haya unapotaka kuvaa nguo oversize, oversize
Kuvaa nguo za oversize (Kubwa) kunaweza kuwa mtindo wa kipekee na wa kuvutia, lakini kuna mambo kadhaa ya kuzingatia ili kuhakikisha unazivaa kwa njia bora na ufanisi. Zingati...
19
Miaka 24 Jela Yampitia Kushoto Mume Wa Rihanna
Baada ya uchunguzi uliyofanywa kwa takribani wiki tatu. Hatimaye rapa na mwanamitindo A$AP Rocky ameachiwa huru baada ya mahakama kumkuta hana hatia kwenye tuhuma mbili zilizo...
18
Mfahamu Mwanamke Aliyekaa Na Ujauzito Tumboni Miaka 60
Kama tunavyojua ujauzito unapo haribika tumboni basi litachukuliwa jukumu la kusafisha na kuacha tumbo likiwa salama, lakini hii imekuwa tofauti kwa mwanamama mmoja kutoka Chi...
15
Kabla Ya Kuigiza Juakali Judith Alikuwa Model
Judith Actress, ndilo jina la Mwanadada anayekuja kwa kasi na kuwabamba mashabiki wa filamu nchini. Sio tu kwa uwezo wake wa kuifanya sanaa pia kwa muonekano wake.Quruthum Ath...
13
Mahakama Ya Rufaa Yaridhia R.Kelly Kufungwa Miaka 30
Mahakama ya rufaa ya shirikisho nchini Marekani, imeunga mkono hukumu ya R. Kelly ya kifungo cha miaka 30 jela iliyotokana na kesi zilizokuwa zikimkabili za biashara ya usafir...
11
Diddy Ngoma Ngumu, Mashitaka Kila Kukicha
Wakati mwanamuziki Kanye West akipambana kumrudisha mjini rapa Diddy, mambo yanaendelea kuwa magumu kwa msanii huyo, hii ni baada ya kukumbana na shitaka jingine lililofunguli...
07
Zingatia haya unapotaka kununua kofia
Je unapenda kuvaa kofia?. Fashion ya Mwananchi Scoop wiki hii imekuletea vitu vya kuzingatia unapotaka kununua kofia. Fuatilia Umbo la Kichwa, kofia inapaswa kuwa na ukubwa u...
06
Wenye Chuki Mwaka Mmoja Jela
Serikali nchini Australia chini ya Waziri wa Sheria Mark Dreyfus imeanzisha sheria mpya ya kutoa kifungo cha angalau mwaka mmoja (miezi 12) kwa mtu atakayeonesha chuki ya aina...
06
Aliyehusika Mauaji Ya Pop Smoke Kusota Jela Miaka 29
Mahakama inayoendesha kesi ya mauaji ya Rapa Pop Smoke imemuhukumu miaka 29 jela Corey Walker, mwenye umri wa miaka 24 ambaye ni mmoja wa washtakiwa wa mauaji ya rapa huyo wa ...
06
Nchi Hizi, Adhabu Ya Umbea Ni Kifo
Katika historia, zamani baadhi ya nchi zilikuwa na sheria kali dhidi ya mtu ‘Mmbea’ (watu waliokuwa wakisambaza na kuzungumza taarifa zisizo za kweli au zisizowahu...
06
Kanye West, Mkewe Huwenda Wakatinga Super Bowl
Baada ya Rais wa Marekani Donald Trump na mkali wa Pop Taylor Swift kutangazwa kuwepo katika fainali za ‘Super Bowl LIX’, sasa inaelezwa kuwa rapa Kanye West na mk...
05
Mtoto Wa Michael Jordan Akalia Kuti Kavu
Mtoto wa Michael Jordan, Marcus Jordan anatuhumiwa kukutwa na madawa ya kulevya aina ya Cocaine pamoja na kuendasha gari akiwa amelewa.Marcus mwenye umri wa miaka 34, alikamat...

Latest Post