Usiku wa kuamkia leo zimegawiwa Tuzo za Iheart Radio Music Award, zilizofanyika katika ukumbi wa Dolby Theatre, Los Angeles Marekani zikiongozwa na mshereheshaji LL Cool J. Hu...
Hakuna ubishi kuwa MB Dogg ni miongoni mwa wasanii wachache wa Bongofleva ambao muziki wao ulitikisa vilivyo, ngoma zake zililia sana mitaani na kutawala chati karibia zote za...
Mkali wa Bongo Fleva ambaye ameendelea kuupeleka muziki huo Kimataifa Rayvanny amefichua alivyofanikiwa kumshawishi Maluma kufanya naye kolabo ya wimbo wa ‘Mama Tetema&r...
Mkali wa Afrobeat kutoka Nigeria, Yemi Alade amefunguka kuwa amekosa tuzo nyingi kutokana na kukataa kutoa rushwa ya ngono.Wakati alipokuwa kwenye moja ya mahojiano yake Yemi ...
Kawaida tasnia ya muziki inaambatana na masuala ya fasheni na mitindo. Na hii ni kutokana na mchango wa mwonekano katika katika kukuza brand ya msanii.
Hii imejionesha k...
Usiku wa kuamkia leo Machi 3, 2025 limefanyika tukio la ugawaji wa tuzo kubwa duniani za Filamu za Oscar katika Ukumbi wa Dolby Theatre Ovation, Hollywood Los Angeles. Tuzo hi...
Mwanamuziki kutoka Kenya ambaye ameshinda tuzo ya Trace Award katika kipengele cha msanii bora Afrika Mashariki, Bien amemkingia kifua Marioo baada ya wadau na muziki kumnanga...
Mwanamuziki kutoka Bongo ambaye amepokea pongezi nyingi kufuatia na kupiga show kali aliyoifanya katika tamasha la Trace Awards, Harmonize amewatia mkwala watakao fanya fujo k...
Moja ya tukio ambalo limepokea maoni mengi kutoka kwa mashabiki na mastaa katika shamra shamra za ugawaji wa tuzo za Trace ni kuhusiana na mwanamuziki Diamond kusafirisha gari...
Moja ya tukio ambalo linasubiriwa kwa hamu Zanzibar kisiwani Unguja ni ugawaji wa Tuzo za Trace ambazo zinatarajiwa kutolewa kesho Februari 26,2025.Tukio hilo ambalo lilianza ...
Kuelekea siku ya ugawaji wa tuzo za Tanzania Comedy Award Tarehe 22 Februari 2025, Naibu waziri wa Habari tamaduni sanaa na michezo Hamis Mwinjuma, Mwana FA amesema tukio hilo...
Mtanzania anayefanya maudhui ya vichekesho kupitia mpira wa miguu Zerobrainer ashinda tuzo ya Sports Creator of the Year TikTok Awards 2024 zilizofanyika Johannesburg South Af...
Baada ya kuwepo kwa tetesi kuhusiana na tuzo za Oscars kuahirishwa kufuatiwa na tukio la moto lililotokea jijini Los Angeles katika milima ya Hollywood, na sasa taarifa rasmi ...