Baada ya kuwepo kwa mijadala katika mitandao ya kijamii kuhusiana na msanii wa singeli Dogo Paten kushindwa kutumbuiza kutokana na sauti yake kuleta shida huku msanii mwenzake...
Mkali wa Pop kutoka katika visiwa vya Barbados, Rihanna ameripotiwa kuwa utajiri wake umepungua kwa kaisi kikubwa kutokana na baadhi ya miradi yake ya kibiashara kutofanya viz...
Mambo yanazidi kuwa magumu kwa mkali wa Rap kutoka Marekani, Sean "Diddy" Combs, hii ni baada ya mbunifu wa mitindo Bryana Bongolan, ambaye ni rafiki wa karibu (BFF) wa Cassie...
Mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini Yammi ameweka wazi kuwa amelipa kiasi cha Sh100 milioni kuondoka katika lebo ya ‘The African Princess’ inayomilikiwa na msanii Na...
Mwanamuziki kutoka Nigeria amewataka mashabiki zake kuacha kumuita mtoto wake wa kike ‘Duduke’.Wakati alipokuwa kwenye mahojiano na ‘VJ Adams’ Simi ame...
Msanii wa Singeli nchini D Voice, ameweka wazi tuhuma alizopewa na msanii mwenzake Meja Kunta kuhusu kumuibia wimbo 'Ex wa Nani' na kumpatia JuxD Voice amesema wimbo...
Ni wiki tatu mfululizo kesi ya Sean "Diddy" Combs inaendelea kusikilizwa mahakamani. Hatimaye shahidi mwingine Eddy Garcia, aliyekuwa mlinzi wa usalama wa hoteli ya InterConti...
Peter Akaro Ukweli ni kwamba video nyingi za muziki wa Bongo Fleva kwa sasa hazina stori yoyote ndani tofauti na hapo awali, waandaji (music directors) na wasanii wenyewe wame...
Peter Akaro Kinachosubiriwa kutoka kwa watu hawa maarufu kutoka kiwanda cha burudani Bongo ni ndoa baada ya kuingia hatua ya uchumba kwa kuvishana pete. Hivyo basi, kwa maana ...
Mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini Zuchu hatimaye amejitambulisha kama Mrs NasibuKupitia ukurasa wake wa Instagram ameongeza utambulisho kupitia bio yake akiandika Mrs Nasibu (...
Wakati mashabiki kutoka pande zote za dunia wakisubiri kwa hamu toleo la mwisho la filamu ya Squid Game 3. Kwa upande wa Lee Jung-jae anayeigiza kama Seong Gi-hun kwenye filam...
Peter Akaro Je, huwa unajifunza nini pindi unapotazama video za muziki?, au kwako ni kama kufurahisha macho yako tu?, ila una paswa kujua kuna nyimbo ambazo video zake zinabeb...
Peter AkaroImekuwa kawaida katika siasa, biashara, michezo, muziki, filamu na mitindo, kila anayefanya vizuri upande huo, kuna mtu alimshika mkono au kumvutia kufanya mojawapo...
Wakati Rais wa Marekani, Donald Trump akionesha nia ya kutaka kumsaidia rapa Diddy dhidi ya mashitaka yanayomkabili. 50 Cent anaonesha kupinga kwa kukumbushia baadhi ya matuki...