Mzalishaji muziki maarufu nchini S2kizzy ‘Zombie’ ameendelea kujimwagia maua yake huku akidai hakuna producer mwingine kutoka Bongo anayeweza kumfikia.Zombie ameya...
Zikitajwa nyimbo kumi za Bongo zenye mafanikio makubwa, lazima jina la mzalishaji muziki S2kizzy litajwe. Hii ni kutokana na mkali huyo kuhusika kwenye kutengeneza nyimbo nyin...
Wakati maandalizi ya utolewaji tuzo za Trace yakiendelea kisiwani Zanzibar. Moja ya tukio ambalo limepokea maoni mengi kutoka kwa mashabiki na mastaa ni kuhusiana na mwanamuzi...
Huu wimbo umemtia Diamond hasara tu!Staa wa Bongofleva kutokea WCB Wasafi, Diamomd Platnumz ameshirikiana na wasanii wengi wa kimataifa ambao wameikuza na kuitangaza chapa yak...
Diamond ambaye ni mwanamuziki anayetamba na kibao cha ‘Komasava’ kilichotazamwa zaidi ya mara milioni 31 kwenye mtandao wa YouTube amedai lebo inayotamba Afrika ya...
Licha ya ngoma ya ‘Komasava’ kufanya vizuri duniani kote lakini msanii Diamond Platnumz amegonga mwamba dhidi ya mastaa kutoka Nigeria katika kuwania tuzo za Gramm...
Na Asma HamisZimebaki zimebaki saa chache dunia ishuhudie majina ya mastaa watakaowania tuzo kubwa za muziki nchini Marekani 'Grammy', nyota wa ‘Komasava’ Diamond ...
Mwanamuziki kutoka Marekani Jason Derulo anatarajia kutumbuiza remix ya ngoma ya ‘Komasava’ na Diamond kwa mara ya kwanza jijini Johannesburg.Kupitia ukurasa wa In...
Wakati akiwa kwenye ziara yake ya ‘Nu King’ iliyofanyika nchini Ujerumani, mwanamuziki Jason Derulo ameendelea kuutangaza wimbo wa ‘Komasava’ kwa kuutu...
Video ya wimbo unaoshikiria namba moja YouTube, Tanzania wa ’Komasava Remix’ umefikisha watazamaji milioni 10 ukiwa na wiki mbili tuu tangu kuachia kwake.Wimbo huo...
Baada ya mwanamuziki Diamond kutamba zaidi na ‘Komasava Remix’ aliyomshirikisha msanii wa Marekani Jason Derulo, na sasa ametajwa kuwepo kwenye album ya ‘rap...
Mwanamuziki kutoka Marekani Jason Derulo ni kama amejimilikisha ngoma aliyoshirikishwa na msanii wa Bongo Fleva Diamond iitwayo ‘Komasava’ hii ni baada ya kuonekan...
Wimbo wa Diamond Platnumz unaotamba hivi sasa uitwao Komasava, umeingia kwenye chati maarufu za muziki nchini Marekani ziitwazo USA Billboard na kuweka rekodi.Komasava umeingi...
Baada ya kuwepo na minong’ono kupitia mitandao ya kijamii kwa baadhi ya mashabiki wakihoji kwanini Diamond aliamua kuvaa vazi la Kimasai katika video yake na kwanini asi...