19
Ubaguzi Ulivyomtesa Tyla
Mwanamuziki wa Afrika Kusini, Tyla amekiri kuwa amewahi kujichukia, kutokana na rangi yake kuwa nyeusi huku akitaja sababu ni kutokana na mazingira.Alipokuwa kwenye mahojiano ...
13
Fahamu Tatizo La Umeme Wa Moyo Uliokuwa Ukimtesa Mbosso
Baada ya video za mwanamuziki Mbosso kusambaa kwenye mitandao ya kijamii zikimuonyesha akiwa hospitali amelazwa. Msanii huyo ameweka wazi kuwa alikuwa akisumbuliwa na tatizo l...
11
Aliye nyuma ya ngoma ya Lamar inayomtesa Drake
Mustard ni miongoni mwa watayarishaji wa muziki wa Hip-hop wanaofanya vizuri duniani. Akifanikiwa kutengeneza ngoma kali za wasanii wakubwa ikiwa ni pamoja na 'Ballin' alioshi...
25
Scene Za Mapenzi Zinavyomtesa Abdulrazak
Miongoni mwa waigizaji wapya wanaotikisa kiwanda cha filamu nchini ni Abdulrazak ambaye anaonekana kwenye tamthilia ya Jua Kali.Licha ya kuonekana kwa mara ya kwanza akiigiza ...
16
Kongosho yamtesa Chameleone, Mtoto wake aweka wazi
Mtoto wa kwanza wa msanii Jose Chameleon, Abba Marcus ameweka wazi kuwa baba yake anasumbuliwa na maradhi ya kongosho (Acute Pancreatitis) iliyosababishwa na uraibu wa pombe k...
06
Magonjwa yaendelea kumtesa Selena Gomez
Baada ya baadhi ya mashabiki kuhoji kupitia mitandao ya kijamii kuhusiana na kupungua mwili kwa mwanamuziki na mwigizaji kutoka Marekani Selena Gomez , hatimaye msanii huyo am...
05
Msiba wa Tesa wamuibua Ray C, awataja bongo fleva
Mwanamuziki mkongwe nchini Rehema Chalamila ‘Ray C’ amewapongeza wasanii wa filamu nchini kwa umoja wao katika matatizo huku akiwataka wasanii wa Bongo Fleva kuiga...
04
Ally Kamwe akumbuka alivyopewa shavu na Tesa
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Yanga, Ally Kamwe amesema marehemu Grace Mapunda 'Tesa' ni kati ya watu waliomsaidia miaka saba iliyopita wakati akijitafuta. Kamwe...
04
Waombolezaji wamuaga Tesa kwa picha
Mwili wa msanii, Grace Mapunda 'Tesa' umeagwa bila jeneza kufunguliwa. Kutoka na utaratibu uliowekwa na familia, ambayo ilitangaza kutofunua jeneza lenye mwili wa muigizaji hu...
04
Jumatatu nyeusi kwa mastaa Bongo Muvi, msiba wa Tesa
Jumatatu nyeusi ya Novemba 4, 2024, hivi ndivyo unaweza kuiita kutokana na watu maarufu nchini kujitokeza katika Viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam wakiwa wamevalia...
02
Tesa wa Huba afariki dunia
Mwigizaji Grace Mapunda maarufu kama ‘Tesa’ amefariki dunia usiku wa kuamkia leo, Novemba 2, 2024 akipatiwa matibabu katika chumba cha wagonjwa mahututi, kwenye Ho...
01
Safari ya Bi Star kutoka kwenye Taarab hadi kutesa anga za filamu
Waswahili wanasema vya kale ni dhahabu, watozi na wanagenzi wakafika mbali zaidi na kusema wakongwe hawafi 'legends never die'. Hii imethibitika baada ya mwigizaji mkongwe Sha...
22
Romy Jons afichua mambo yanayowatesa vijana
Muigizaji na Dj Romy Jons ameeleza kuwa watu wengi hasa vijana wanasumbuliwa na mawazo yaliyopitiliza hofu, na wasiwasi.Kupitia ukurasa wake wa Instagram Romy amewataka watu k...
19
Matatizo ya misuli yamtesa Celine Dion
Dada wa mwanamuziki maarufu kutoka nchini Marekani Celine Dion, Claudette Dion ametoa taarifa mpya kuhusiana maendeleo ya mwanamuziki huyo kwa kuweka wazi kuwa kwa sasa Celine...

Latest Post