Dakika chache baada ya kiungo wa Yanga, Stephanie Aziz KI kutupia kambani chuma tatu, furaha yake imemfanya kufichua juu ya ndoa yake na mwanamitindo Hamisa Mobeto.Azizi Ki am...
Unaweza kusema ni lugha gongana kutokana na kauli za mama wa msanii na mfanyabiashara Hamisa Mobetto, Shufaa Rutiginga kuhusu ndoa ya binti yake na nyota wa Yanga Stephanie Az...
Muziki wa miondoko ya taratibu Kompa Flava umeripotiwa kuwa na ushawishi mkubwa katika muziki wa Bongo Fleva huku ukiiteka jamii kutokana na muundo wake wa kipekee.Kwa mujibu ...
Klabu ya Yanga imemfuta kazi Kocha Mkuu wa timu hiyo, Miguel Gamondi leo Ijumaa Novemba 15, 2024.Taarifa ya kufutwa kazi kwa makocha hao imetolewa na Ofisi ya Mtendaji Mkuu wa...
Msanii wa Bongo Fleva, Harmonize amepiga marufuku wimbo wake wa ‘Yanga Bingwa’ kupigwa na kuchezwa sehemu yoyote mpaka pale atakapo toa taarifa.Harmonize ametoa ta...
Nyota wa zamani wa Yanga Princess ambaye kwa sasa anakipiga UTAH ya Marekani, Kaeda Wilson maarufu Mzungu, amesema ataendelea kuishangilia na kuishabiki timu hiyo hata kama yu...
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeruhusu Klabu ya Dar es Salaam Young Africans Sports kufanya mapitio ya marejeo ya shauri la madai namba 187/2022 lililofunguliwa na Juma Mag...
Wakati wa Tamasha la Simba Day lililofanyika uwanja wa Benjamin Mkapa Agosti 3, mwaka huu likiwa ni maalumu kwa utambulisho wa nyota mpya wa kikosi hicho pamoja na mtoko mpya ...
Mchezaji wa ‘klabu’ ya PSG Ashraf Hakimi ambaye yupo Tanzania kwa ajili ya mapumziko na kutembelea vivutio mbali mbali vya utalii, kupitia taasisi yake ya ‘A...
Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi nchini, Nguza Viking 'Babu Seya' amefurahishwa na tetesi za usajili kwamba huenda kiungo wa Simba, Clatous Chama akajiunga na ‘tim...
Rais wa klabu bingwa Tanzania Bara #YangaSC Mhandisi Hersi Said amempokea mgeni wake #AchrafHakimi katika Uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro ‘KIA’.
Mchezaji huyu b...
Kiungo mshambuliaji wa ‘klabu’ ya Yanga, Stephane Aziz KI amekosa tuzo ya mchezaji bora wa mwaka Burkina Faso akizidiwa kete na Edmund Tapsoba.Tuzo hiyo imetolewa ...
Rais wa shirikisho la 'soka' Afrika (CAF), Patrice Motsepe amekiri kuwa goli la #Yanga lililokataliwa na mwamuzi katika mchezo wa robo fainali dhidi ya Mamelod Sundo...
Mchezaji wa ‘klabu’ ya Yanga Dickson Job amemtania mchezaji mwenzake Mudathiri Yahya kwa kueleza kuwa simu aliyokuwa akitumia Mudathiri kupiga wakati akiwa amefung...