Licha ya muziki kuhusisha usikilizaji zaidi lakini video zake zimekuwa na mchango mkubwa wa kukuza kazi za wasanii na kuwapeleka mbali zaidi. Pia zinapanua wigo wa sanaa na ku...
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na chapa ya ‘St. Tropez’ unaeleza kuwa wanawake wanapata mabadiliko ya kuonekana wazee kila ifikapo Jumatano hasa kuanza saa 9:30 ...
Mwanamuziki Diamond licha ya kufanya vizuri kwa miondoko na midundo mbalimbali ya muziki. Lakini mashairi ya kunung'unika yanaonekana kumbeba zaidi "Aloiumba leo ni Mungu na n...
Mwigizaji anayewakosha kinadada wengi kwenye mitandao ya kijamii Aaron Pierre ‘Mufasa’ amesema mwanamuziki na mwigizaji Ashanti ndiye mwanamke aliyekuwa akimvutia ...
Rapa Lil Wayne ametangaza kutohudhuria Half Time Show ya Super Bowl inayotarajiwa kufanyika Februari 9, 2025 kwenye mji aliozaliwa rapa huyo 'New Orleans'.Wayne amesema kuwa h...
Mfahamu Debbi Wood mwanamama kutoka nchini Uingereza anayetajwa kuwa mwanamke mwenye wivu zaidi duniani, kutokana na tabia yake ya kutomuamini mume wake Steve Wood.Mwanamke hu...
Ni wazi kuwa waimbaji wa Bongofleva kutokea WCB Wasafi, D Voice na Zuchu wapo mbio sana kuwapa burudani mashabiki wao ukilinganisha na wenzao katika rekodi lebo hiyo iliyoanza...
Kwa miaka mingi, mfalme wa pop, Michael Jackson, amekuwa akihukumiwa kwa mabadiliko makubwa ya ngozi yake. Wengi wanadai kuwa alitaka kubadilisha rangi yake na kuwa mzungu.Lic...
Na Ammar MasimbaUjasiriamali ni moja ya njia zenye faida kubwa katika muziki wa Hip Hop, kutoka kwenye ziara za muziki, mikataba ya kibiashara, uwekezaji, hadi kuanzisha biash...
Hili ndilo limetokea kwa mwalimu wa mpira wa miguu. Ambaye kwa miongo miwili hii. Soka la ngazi za vilabu duniani, kaliteka na kuliweka chini ya soksi zake.Pep Guardiola kakam...
Mwanamuziki wa Nigeria Tems ameibuka mshindi wa Grammy 2025 katika kipengele cha Best African Music Perfomance.Ushindi huo ambao ameupata usiku wa kuamkia leo Februari 3, 2025...
Hatimaye mwanamuziki Beyonce ameshinda kipengele cha Albamu Bora ya Mwaka ‘Cowboy Carter’ katika tuzo za Grammy 2025 Best na kuwa Mmarekani mweusi wa kwanza kushin...
Msanii wa Bongofleva Harmonize ametangaza kuachia wimbo Ijumaa hii ambao utakuwa maalumu kwa ajili ya kuwaimbia wapenzi wa zamani.Katika wimbo huo amesema anaomba mashabiki za...
Staa wa muziki wa Afrobeat kutoka Nigeria Davido ameonesha imani yake ya kushinda tuzo ya Grammy usiku wa leo"Kama sitoshinda Grammy mwaka huu ninafikiria kuacha muziki, nimew...