Kati ya watu ambao wamepata umaarufu kwenye mitandao ya kijamii nchini Tanzania, kutokana na mbwembwe walizofanya kwenye harusi ya msanii Jux na mkewe Priscilla ‘Hadiza&...
Nancy Sumari Miss Tanzania 2005, hadi sasa ndiye mrembo mwenye historia yenye msisimko zaidi tangu kuanzishwa kwa Miss Tanzania, hii ni baada ya kufanikiwa kutwaa taji la Miss...
Brian Deacon ni jina la mwigizaji maarufu wa Uingereza aliyecheza kama Yesu Kristo katika filamu ya 'Jesus' (1979), iliyoandaliwa na kampuni ya 'Jesus Film Project'. Filamu hi...
Mustard ni miongoni mwa watayarishaji wa muziki wa Hip-hop wanaofanya vizuri duniani. Akifanikiwa kutengeneza ngoma kali za wasanii wakubwa ikiwa ni pamoja na 'Ballin' alioshi...
Tupac Shakur ni moja ya watu maarufu katika historia ya muziki wa hip-hop duniani, hiyo ni kutokana na alama zisizofutia alizoziacha kwenye tasnia ya muziki. Lakini licha ya m...
Mjukuu wa Mfalme kutoka Dubai, Sheikh Hamdan Bin Mohammed Bin Rashid Al Maktoum, aliwahi kuwavutia watu wengi huku akipokea pongeze kede kede baada ya kuacha kutumia gari yake...
Unaweza kusema ni lugha gongana kutokana na kauli za mama wa msanii na mfanyabiashara Hamisa Mobetto, Shufaa Rutiginga kuhusu ndoa ya binti yake na nyota wa Yanga Stephanie Az...
Wakati mwanamuziki Kanye West akipambana kumrudisha mjini rapa Diddy, mambo yanaendelea kuwa magumu kwa msanii huyo, hii ni baada ya kukumbana na shitaka jingine lililofunguli...
Selena Gomez, mwigizaji na mwanamuziki ambaye anaupiga mwingi katika tasnia ya burudani amefunguka kuwa itakuwa ni changamoto kwake kurudi kwenye muziki hii ni baada ya kufura...
Mwigizaji kutoka Marekani, Denzel Washington ameweka wazi kuwa hana wasiwasi wowote baada ya kukosa uteuzi katika tuzo za Oscar huku akidai kuwa anajivunia sana kazi zake kuli...
Wakati mashabiki wakiendelea kumpa Kendrick Lamar maua yake kutokana na alichokifanya kwenye ‘Super bowl Half Time Show’ 2025, tayari baadhi ya mashabiki wameanza ...
Ni ngumu kutaja orodha ya wasanii wakike wakubwa duniani na kuliacha jina la malkia wa pop Beyonce. Lakini licha ya umaarufu na mafanikio yake nyota huyo amekuwa akikosa amani...
Baada ya Kendrick Lamar kuzikomba tuzo 5 za Grammy wiki iliyopita, usiku wa kuamkia leo Februari 10,2025 alitumbuiza kwenye 'Half Time Show ya Super Bowl ya 59', iliyofanyika ...
Nyota wa soka wa klabu ya Yanga Stephane Aziz Ki na mjasiriamali Hamisa Mobetto wameendelea kuibua mijadala kwenye mitandao ya kijamii, baada ya kuchapisha video zikidai wawil...