30
Miaka 3 jela kwa kupokea rushwa
Manaume mmoja aliefahamika kwa jila la Magesa Ngereja amekutwa na hatia ya kupokea hongo kwa lengo la kuuza ardhi ya kijiji cha Kahangaza, kitongoji cha Kanyamlima mkoani Kage...
30
Drake apewa ufunguo wa heshima
Mwanamuziki kutoka nchini Canada Drake amepewa ufunguo wa heshima huko Memphis katika Kaunti ya Shelby mahali apozaliwa Baba. Mkali huyo mara kadhaa amekuwa akitaja 901 katika...
28
Mama achoma moto nyumba baada ya mume kuoa mke mwengine
Baada ya kugundua mumewe ameongeza mke wa 2 mwanamke mmoja nchini Kenya katika eneo la Kajiado amechoma moto nyumba yake akiwemo ndani, na kusababisha vifo vya watoto wake waw...
28
Wafungwa 100 waachiwa huru, Sudan
Kundi la wanamgambo la Rapid Support Forces (RSF) la nchini Sudan limetangaza kuwaachia huru wafungwa 100 wa vita ikiwa ni sehemu ya kusherehekea sikukuu ya Eid el Haji. Kund...
28
Alikataa kuzaa kisa sikuwa na pesa, Sarkodie
Rapa kutokea Ghana Micheal Owusu Addo maarufu kama Sarkodie amemjibu Muigizaji Yvanne Nelson kupitia Diss Track (nyimbo) aliyoipa jina la “Try Me” baada ya mrembo ...
28
Mwendokasi Mbagala kuanza leo
Safari za magari yaendayo kasi maarufu kama (Mwendokasi) kutoka Gerezani hadi Mbagala zinaanza rasmi leo kuelekea msimu wa Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya 47 (Sabasaba) a...
28
Mtoto wa miaka 14 apata ajira
Ebwana!! Kila uchwao mambo yanazidi kuwa mengi muda nao ni mchache haya sasa wakati mtoto wako wa miaka 14 anajiandaa kwenda Shule basi kuna mvulana wa miaka hiyo nchini Marek...
28
Miss Tanzania kuanza rasmi
Shindano kubwa la urembo nchini, la Miss Tanzania limeanza rasmi kwa Warembo 20 wanaowakilisha maeneo mbalimbali kuingia kambini siku ya jana. Maisha halisi ya Warembo hao ka...
28
Chadwick kutunukiwa tuzo ya heshima
Muigizaji kutoka katika filamu iliotamba duniani ya ‘Black Panther’, Chadwick Boseman anatarajia kupokea nyota (tuzo) ya heshima baada ya kifo kwenye Hollywood Wal...
27
Lungu alaani serikali kuchukua mali zake
Rais wa zamani nchini Zambia Edgar Lungu, amelaani hatua ya serikali ya nchi hiyo, kuchukua mali mbalimbali zinazohusishwa na familia yake, na kusema kuwa kitendo hicho kimech...
27
Afariki kwa kudondokewa na jiwe, Mwanza
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara, Nicodemus Katembo amesema mtu mmoja amefariki dunia baada ya kuangukiwa na jiwe akiwa katika shughuli za uchimbaji mawe. Kwa mujibu...
27
Izzo B amewataka wasanii kufanya muziki bora sio kiki
Ebanaee!! Mambo ni mengi muda mchache wanetu basi bwana tasnia ya muziki huu wa kizazi kipya (Bongo fleva) kumekuwa na mtindo ili msanii atoke au afanikiwe basi afanye jambo k...
27
Washtakiwa kwa kusafirisha chungu kiharamu nje ya nchi
Wakenya watatu washtakiwa kwa jaribio la kusafirisha chungu (sisiminzi) wenye thamani ya shilingi 300,000 za Kenya bila kibali kutoka shirika la Wanyama Pori nchini humo. Wast...
27
Card B akanusha kumcheat mumewe
Rapa kutoka nchini Marekani Cardi B amekanusha madai ya kumcheat mume wake Offset, hii ni baada ya mpenzi wake huyo kupost insta story akidai kusalitiwa na mkewe. Kupitia...

Latest Post