Mwanamuziki Beyonce na mume wake Jay-z ni moja ya watu ambao wametembelea nchi mbalimbali kwa lengo la kutoa msaada huku nchini namba moja ikiwa ni Tanzania ambapo wawili hao ...
Ni ngumu kutaja orodha ya wasanii wakike wakubwa duniani na kuliacha jina la malkia wa pop Beyonce. Lakini licha ya umaarufu na mafanikio yake nyota huyo amekuwa akikosa amani...
Shirika la kupambana na matatizo ya Moyo Marekani (AHA) limetumia nyimbo za wasanii kama Kendrick Lamar na Beyonce ili kuhamasisha umma mbinu za kuokoa maisha ya watu kupitia ...
Hatimaye mwanamuziki Beyonce ameshinda kipengele cha Albamu Bora ya Mwaka ‘Cowboy Carter’ katika tuzo za Grammy 2025 Best na kuwa Mmarekani mweusi wa kwanza kushin...
Kila nchi ina misingi na sheria zake. Mara nyingi jina na umaarufu wa mtu si sababu ya kuvunja sheria za nchi fulani. Licha ya kuwa na umaarufu mkubwa lakini wasanii hawa wali...
Nyota wa muziki kutoka Marekani, Beyonce ameweka wazi utaratibu wake wakufanya tambiko kila anapomaliza mwaka ambapo hulifanya kwa kujirusha katika bahari.Imeripotiwa kuwa Bey...
Mwanamuziki kutoka Marekani Beyonce amedaiwa kujitosa kufunika sakata la mumewe Jay Z hii ni baada ya Foundation ya BeyGOOD iliyopo chini ya msanii huyo kutoa fedha takribani ...
Mwanamuziki Jay-Z alijitokeza hadharani kwa mara ya kwanza akiwa na familia yake katika onyesho la Disney la Mufasa la ku premier filamu ya 'The Lion King' huko Los Angeles, M...
Baada ya Billboard kumtangaza Beyonce kama msanii wa kwanza wa Pop wa karne ya 21, Baba yake mzazi mzee Methew Knowles ameibuka na kumpongeza binti yake kwa hatua hiyo kubwaMa...
Hatimaye Jarida maarufu duniani la Billboard limekamilisha orodha ya wasanii bora 50 na kumtaja Beyonce kama msanii namba 1 wa karne ya 21.Licha ya kuwa Taylor Swift ni kinara...
Na Asma HamisLicha ya kukimbiza kwenye muziki wasanii kutoka Marekani Ariana Grande na Beyoncé Sasa wanatajwa kuonesha uwezo wao kwenye filamu za muziki.Kwa mujibu wa t...
Na Masoud KofiiChuo Kikuu cha Yale kilichopo Marekani kimeanzisha mafunzo ya siasa na utamaduni huku kikitumia album za Beyonce kufundishia.Albamu hizo ni kama vile Into Lemon...
Mwanamuziki anayeupiga mwingi kwenye matamasha yake ya kila mwaka, Beyonce ameweka historia nyingine na kuziteka tuzo za Grammy kwa kuteuliwa katika vipengele vingi zaidi, aki...
Mwanamuziki wa Marekani Beyonce ameripotiwa kuwakacha wagombea Urais nchini humo Kamala Harris na Donald Trump.Haya yamejiri baada ya timu ya msanii huyo ikiwakilishwa na msem...