Msanii wa Bongo Fleva Harmonize amefanikiwa kutazamwa zaidi ya mara bilioni moja kwenye mtandao wake wa Youtube.Harmonize alianza kuweka maudhui ya muziki kwenye channel yake ...
Usiku wa kuamkia leo zimegawiwa Tuzo za Iheart Radio Music Award, zilizofanyika katika ukumbi wa Dolby Theatre, Los Angeles Marekani zikiongozwa na mshereheshaji LL Cool J. Hu...
Baada ya mkali wa Hip-Hop kutoka Marekani Sean Combs ‘Diddy’ kukamatwa Septemba 16, 2024 na kutupwa katika gereza la Metropolitan, majina ya baadhi ya mastaa yalic...
Mwanamuziki kutoka Bongo ambaye amepokea pongezi nyingi kufuatia na kupiga show kali aliyoifanya katika tamasha la Trace Awards, Harmonize amewatia mkwala watakao fanya fujo k...
Moja ya tukio ambalo linasubiriwa kwa hamu Zanzibar kisiwani Unguja ni ugawaji wa Tuzo za Trace ambazo zinatarajiwa kutolewa kesho Februari 26,2025.Tukio hilo ambalo lilianza ...
Peter Akaro
Ni hivi karibuni zimetolewa tuzo za 67 za Grammy huko Marekani na kumshuhudia msanii wa Nigeria, Tems akishinda kipengele cha wasanii wa Afrika akiwa ni wa pili ku...
Msanii wa Nigeria Asake ameibua mijadala mtandaoni baada ya kutangaza kuanzisha biashara ya Bangi iitwayo Giran Energy 5K mjini California, Marekani.Asake amethibitisha hilo b...
Mwanamuziki anayefanya vizuri ndani na nje ya nchi Diamond ameripotiwa kuingiza mkwanja mrefu kupitia mtandao wa kusikiliza na kutazama muziki wa YouTube.Kwa mujibu wa mtandao...
Shabiki aliyemvamia mkali wa Afrobeat Nigeria Burna Boy stejini na kupelekea msanii huyo kususia show na kushuka jukwaani amefunguka kuwa alipanda katika steji hiyo kwa lengo ...
Mkali wa Afrobeat, Burna Boy ametoa maelezo sababu ya kushuka jukwaani baada ya shabiki kumvamia kwa kudai kuwa muda wake ulikuwa tayari umekwisha.Utakumbuka kuwa msanii huyo ...
African Giant albamu kutoka kwa Burna Boy bado inasumbua kwenye kiwanda cha muziki Afrika baada ya kuweka rekodi mpya ya kuwa album ambayo imesikilizwa zaidi kwenye kwenye mta...
Na Asma HamisMsanii wa Nigeria na mmiliki wa label ya ‘2nite Entertainment’ Mr. Flavour ameungana na wasanii wengine kama Diamond na Burna baada ya kusaini mkataba...
Licha ya ngoma ya ‘Komasava’ kufanya vizuri duniani kote lakini msanii Diamond Platnumz amegonga mwamba dhidi ya mastaa kutoka Nigeria katika kuwania tuzo za Gramm...
Ikiwa zimetimia siku 14 tangu mkali wa Hip Hop Sean Combs 'Diddy' kuishi katika kuta za gereza hatari zaidi Marekani la Metropolitan, kwa upande wa mastaa aliyowaacha uraini m...