11
Jux : Ndoa Yangu Ya Ukweli Ni Nikka, Nyingine Za Uongo
Baada ya kuwepo kwa sintofahamu katika ndoa ya mwanamuziki Juma Jux na mke wake Pricy akidaiwa kufunga ndoa ya Kikristo na Kiislam hatimaye msanii huyo ameweka wazi kuhusiana ...
11
Kukosea Ni Kujifunza Amini!
Michael Anderson Huwa hatupendi kukosea kwa sababu tunachukulia kukosea ni kutokujua na kushindwa. Lakini kukosea ndiyo mwanzo mzuri wa kujifunza. Unapokosea unakuwa na fursa...
11
Jinsi Ya Kupika Nyama Ya Foil
Nyama ya foil ni aina ya mboga inayopendwa na watu wengi zaidi hasa wakienda katika migahawa mikubwa. Nyama hiyo hupikwa kwa kutumia foil na sio sufuria kama ambavyo watu wame...
11
Mambo ya kuzingatia unapotaka kuvaa suti
Katika jamii nyingi mtu anayevaa suti huonekana kama mwenye nidhamu na anayejitambua. Kawaida Suti haivutii kwa sababu ya bei yake bali kwa namna inavyovaliwa, inavyotosha mwi...
11
Mbinu inayompa Billnass mafanikio kimuziki
Peter Akaro Akiwa na miaka 11 ndani ya Bongofleva tangu ametoka rasmi kimuziki, Billnass amesalia kuwa yule yule katika mtindo na mbinu za kutoa kazi zake kitu ambacho k...
11
Bieber Arudi Kwa Kishindo, Aachia Album Mpya
Mkali wa muziki wa Pop kutoka Canada, Justin Bieber amerudi tena mjini kwa kishindo, hii ni baada ya kuachia albamu yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘SWAG’ album ...
10
Aunty Ezekiel aomba radhi kuchapisha picha chafu
Msanii wa filamu nchini, Aunty Ezekiel amesema kilichopelekea aitwe na Bodi ya Filamu nchini ni kuchapisha picha chafu kwenye ukurasa wake wa Instagram. Akizungumza na waandi...
10
Travis Scott Awazawadia Lamborghini Wasanii 12
Wakati akielekea kuachia albamu yake mpya ya ‘Jack Boys 2’ rapa kutoka Marekani, Travis Scott amewazawadia gari aina ya Lamborghini wasanii wote aliyowashirikisha ...
10
Ndoto Za Akon Kujenga Mji Wake Zaota Mbawa
Ndoto ya msanii na mwigizaji Akon Thiam ya kujenga mji wa kisasa nchini Senegal imeota mbawa baada ya serikali nchini humo kuchukua eneo hilo walilompatia.Serigne Mamadou Mbou...
10
Mfahamu Mike ambaye sauti yake inatamba kwenye Kombolela
Mwanamuziki Michael James ‘Mike Song’ ameeleza namna tamthilia ya Kombolela na Saluni ya Mama Kimbo ilivyofanya atambulike na kumpa madili kimataifa.Akizungumza na...
09
Mbivu, Mbichi Kesi Ya Diddy Kujulikana Oktoba
Inaelezwa kuwa hukumu ya Sean 'Diddy' Combs itatolewa Oktoba 3,2025 kwa makosa mawili likiwemo la kuhusika na biashara ya ukahaba, hatua hiyo imefikiwa baada ya wana...
09
Baba Wa Rihanna Azikwa Mwezi Mmoja Baada Kifo Chake
Baba mzazi wa mwanamuziki wa Marekani Rihanna, Ronald Fenty, amezikwa jana Jumanne, Julai 8, 2025 nyumbani kwao Barbados baada ya kufariki Mei 31,2025.Rihanna na baba watoto w...
09
Waandaaji Miss Tanzania Wakata Rufaa Kupinga Uamuzi Wa Basata
Kampuni inayojihusisha na kuandaa mashindano ya Miss Tanzania, 'The Look' imekata rufaa kupinga uamuzi uliotolewa na Baraza la Sanaa la Taifa 'Basata' wa k...
09
Mzee Kikala: Nina watoto wengi kuliko wa kwenye Kombolela
Wakati baadhi ya watu wakimuhurumia Mzee Kikala wa kwenye tamthilia ya ‘Kombolela’ kwa mtihani anaopitia kwa kuwa na watoto wengi wasiokuwa na maadili kwenye tamth...

Latest Post