05
Mtoto Wa Michael Jordan Akalia Kuti Kavu
Mtoto wa Michael Jordan, Marcus Jordan anatuhumiwa kukutwa na madawa ya kulevya aina ya Cocaine pamoja na kuendasha gari akiwa amelewa.Marcus mwenye umri wa miaka 34, alikamat...
31
Wengine Wawili Waongezeka, Kesi Ya Diddy
Waendesha mashitaka wa serikali ya Marekani wameripotiwa kuleta waathiriwa wengine wawili wanaodaiwa kuwa na madai mapya dhidi ya ‘Rapa’ Diddy.Kwa mujibu wa tovuti...
15
Video Za Diddy Na Cassie Zilirekodiwa Kwa Hiari
Mawakili wa utetezi wa Diddy wametoa hati mpya Mahakamani ya kupinga madai ya kuwa video zinazomuhusu rapa huyo na aliyekuwa mpenzi wake Cassie Ventura kuwa zilirekodiwa kwa k...
07
Will Smith Atangaza Ujio Wa The Matrix
Mwigizaji kutoka Marekani Will Smith amedokeza ujio wa kurudishwa kwa filamu ya zamani ya ‘The Matrix’ akiweka wazi kuchukua nafasi ya Neo ambaye alikuwa ni muhusi...
21
Mwanasheria wa Diddy afunguka sakata la kuwekwa chini ya uangalizi
Baada ya kuzuka kwa taarifa siku ya jana kuwa mwanamuziki Diddy yupo chini ya uangalizi wa kuzuia kujiua, Mwanasheria wa rapa huyo Marc Agnifilo afunguka kuhusu sakata hilo hu...
20
Diddy apata mshtuko, awekwa chini ya uangalizi
Ikiwa wiki inaenda kukatika huku hatma ya rapa Diddy ikiwa bado haijajulikana mwanamuiziki huyo amewekwa chini ya uangalizi ili asijiue.Kwa mujibu wa tovuti ya People imeeleza...
20
Talaka sio vita, Jennifer Na Ben waonekana pamoja
Mwanamuziki Jennifer Lopez na aliyekuwa mumewe Ben Affleck wameendelea kuonekana pamoja licha ya wawili wao kutarajia kupeana talaka.Lopez na Ben walionekana pamoja katika usi...
17
Diddy akalia kuti kavu, polisi wamdaka
Mkali wa Hip Hop kutoka Marekani Diddy ameripotiwa kukamatwa na polisi New York kufuatia tuhuma za kujihusisha na unyanyasaji wa ngono na biashara za madawa ya kulevya.Kwa muj...
25
Historia ya kundi la Zabron Singers hadi umauti kumfika Marco
Moja ya kundi la muziki wa injili linalofanya vizuri nchini ni hili la Zabron Singers kupitia baadhi ya nyimbo zao kama vile Moyo, Uko Singel?, Naogopa, Mkono wa Bwana, na Swe...
22
Ndugu asimulia Marco wa Zabron Singers alivyopambania uhai wake
Dar es salaam. Familia ya aliyekuwa mwimbaji wa kundi la Zabron Singers Marco Joseph imesema chanzo cha kifo cha ndugu yao ni tatizo la moyo lilitokea ghafla akiwa nchini Keny...
21
Ndoa ya Lopez yapumulia mipira
Mwigizaji na mwanamuziki wa Marekani, Jennifer Lopez, ameripotiwa kufungua shauri la kudai talaka kwa mumewe, Ben Affleck.Kwa mujibu wa TMZ, Lopez amewasilisha shauri hilo mah...
13
Chelsea kuuza wachezaji ili kumsajili Osimhen
Imeripotiwa kuwa ‘klabu’ ya Chelsea ina mpango wa kupiga bei mastaa wake kadhaa ili kupata Euro 200 milioni ambazo itazitumia kwenye usajili wa ‘straika&rsqu...
06
Mtoto wa Diddy ashtakiwa kwa unyanyasaji wa kingono
Mtoto wa Diddy, aitwaye King Combs (26) ameshtakiwa kwa kumnyanyasa kingono mwanamke aliyefahamika kwa jina la Grace O'Marcaigh, tukio lililotokea St Martin mwaka 2022.Kwa muj...
28
Kocha wa Al Ahly aahidi kumaliza mchezo kwa Mkapa
‘Kocha’ wa ‘klabu’ ya #AlAhly, #MarcelKoller ameahidi kuimaliza ‘mechi’ yao dhidi ya ‘klabu’ ya #Simba katika uwanja wa Benjami...

Latest Post