18
Sh7 milioni yamtoka Said kisa picha aliyopiga na Rais Samia
Mchekeshaji Said Said amesema picha aliyopiga na Rais Samia Suluhu Hassan imempatia michongo mingi ambayo hakutarajia.Said ambaye kwa sasa ameweka picha hiyo kwenye billboard ...
11
Chameleone Atoa Neno, Hali Yake Yazidi Kuimarika
Mwanamuziki Jose Chameleone ametoa shukrani kwa mashabiki wake, marafiki, na serikali ya Uganda kwa kumuunga mkono na kuwa pamoja naye wakati akipambania afya yake. Chameleone...
07
Drake Kutumbuiza Kombe La Dunia 2026
Baada ya kutolewa kwa taarifa kuwa kutakuwa na burudani wakati wa mapumziko kwenye Kombe la Dunia, na sasa Rais wa FIFA, Gianni Infantino ameonesha nia ya kumtaka Drake kutumb...
06
Kombe La Dunia 2026 Kama Super Bowl
Rais wa FIFA, Gianni Infantino amethibitisha rasmi mabadiliko makubwa ya fainali za Kombe la Dunia mwaka 2026 ambapo kwa mara ya kwanza katika historia ya mashindano hayo, kut...
27
Rais Samia: Nilipowateua Nikki Na Mwana Fa Watu Hawakunielewa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa uteuzi wa wasanii Hamis Mwinjuma (Mwana FA) na Nickson Simon (Nikki wa Pili) katika nafasi za uongoz...
19
Jose Chameleone Kufanyiwa Upasuaji Leo
Mwanamuziki wa Uganda Jose Chameleone leo Februari 19,2025 anatarajia kufanyiwa upasuaji wa kongosho nchini Marekani katika Hospitali ya Allina Health Mercy iliyopo Coon Rapid...
17
Rais Samia Mgeni Rasmi Kwenye Ugawaji Tuzo Za Comedy
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Samia Suluhu Hassan ndio anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye ugawaji wa tuzo za wachekeshaji ‘Tanzania Comedy Award’ ...
05
Rais Joe Biden ampa medali ya heshima denzel washington
Rais Joe Biden amemtunuku mwigizaji Denzel Washington heshima ya juu kabisa ya uraia kwa medali ya Uhuru wa chini hapo jana katika Ikulu ya White House nhini Marekani. Medali ...
30
Mtoto wa Rais wa Uganda akoshwa na Ayra Starr
Mtoto wa Rais wa Uganda Yoweri Museveni, Muhozi Kainerugaba amezua gumzo mtandaoni baada ya kuonesha kuvutiwa na mwanamuziki kutokea Nigeria Ayra Starr.Kupitia mtandao wake wa...
20
Sanaa ya upishi kukuza utamaduni, Waziri Pindi Chana agusia utalii
Kutokana na sanaa ya upishi kuwa miongoni mwa mambo yanayoweza kukuza na kuendeleza utamaduni, utalii, na uchumi. Kufuatia madhimisho ya msimu wa tisa wa wiki ya Vyakula vya K...
15
Rais Samia atuma salamu za pole kifo cha King Kikii
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za pole kutokana na kifo cha nguli wa muziki wa dansi Tanzania, Boniface Kikumbi maarufu King Kikii.Salamu hizo amezitoa k...
01
Siku ya Muziki ya Kimataifa, unapenda kusikiliza ngoma za aina gani
Kwa wapenzi wa burudani katika upande wa muziki, leo ni siku yao maalumu kwani dunia inaadhimisha siku ya Muziki ya Kimataifa.Uwep...
20
Mwanahawa Ally rasmi kuacha muziki, maradhi yatajwa
Msanii mkongwe wa Taarab nchini Tanzania, Mwanahawa Ally, ameamua kuacha kuimba kutokana na maradhi yanayomsumbua.Hayo yamebainishwa  na Zamaradi Mketema wakati akizungum...
07
Rais wa CAF amlilia mchezaji wa Misri
Rais wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Dk Patrice Motsepe amepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha mchezaji wa klabu ya Modern Future ya Misri, Ahmed Refaat. Kupi...

Latest Post