12
Kajala Katika Mafanikio Ya Mb Dogg
Hakuna ubishi kuwa MB Dogg ni miongoni mwa wasanii wachache wa Bongofleva ambao muziki wao ulitikisa vilivyo, ngoma zake zililia sana mitaani na kutawala chati karibia zote za...
08
Filamu Ya The Weeknd Kutoka Mei 16
Filamu ya mwanamuziki kutoka Canada, The Weeknd iliyopewa jina la ‘Hurry Up Tomorrow’ imeripotiwa kutoka na kuanza kuoneshwa katika kumbi za sinema Mei 16,2025.Fil...
07
Nyota Wa Kwenye Spider-Man, Achumbia
Jacob Batalon ambaye alipata umaarufu kupitia filamu ya Spider-Man, akicheza kama Ned Leeds amemchumbia mpenzi wake wa muda mrefu Veronica Leahov.Tukio la wawili hao kuchumbia...
06
Kolabo Ya Rayvanny Na Maluma Ilikuwa Hivi
Mkali wa Bongo Fleva ambaye ameendelea kuupeleka muziki huo Kimataifa Rayvanny amefichua alivyofanikiwa kumshawishi Maluma kufanya naye kolabo ya wimbo wa ‘Mama Tetema&r...
06
Rushwa Ya Ngono Ilivyomnyima Tuzo Yemi Alade
Mkali wa Afrobeat kutoka Nigeria, Yemi Alade amefunguka kuwa amekosa tuzo nyingi kutokana na kukataa kutoa rushwa ya ngono.Wakati alipokuwa kwenye moja ya mahojiano yake Yemi ...
05
Culkin Atokwa Machozi Kisa Tuzo Za Oscar
Mwigizaji wa Marekani ambaye alipata umaarufu kupitia filamu ya ‘Home Alone’ Macaulay Culkin amefunguka kuwa alimwaga machozi baada ya mdogo wake Kieran Culkin kus...
04
Mitupio ya mastaa kwenye usiku wa Trace Music Awards
Kawaida tasnia ya muziki inaambatana na masuala ya fasheni na mitindo.  Na hii ni kutokana na mchango wa mwonekano katika katika kukuza brand ya msanii. Hii imejionesha k...
03
Waliongara Tuzo za Filamu Oscar
Usiku wa kuamkia leo Machi 3, 2025 limefanyika tukio la ugawaji wa tuzo kubwa duniani za Filamu za Oscar katika Ukumbi wa Dolby Theatre Ovation, Hollywood Los Angeles. Tuzo hi...
01
Bien Amkingia Kifua Marioo Kuhusu Show
Mwanamuziki kutoka Kenya ambaye ameshinda tuzo ya Trace Award katika kipengele cha msanii bora Afrika Mashariki, Bien amemkingia kifua Marioo baada ya wadau na muziki kumnanga...
28
Konde Boy Awatia Mkwala Watakao Fanyafujo Show Ya Burna Boy
Mwanamuziki kutoka Bongo ambaye amepokea pongezi nyingi kufuatia na kupiga show kali aliyoifanya katika tamasha la Trace Awards, Harmonize amewatia mkwala watakao fanya fujo k...
28
Sababu Diamond Kupeleka Ndinga Zake Zanzibar
Moja ya tukio ambalo limepokea maoni mengi kutoka kwa mashabiki na mastaa katika shamra shamra za ugawaji wa tuzo za Trace ni kuhusiana na mwanamuziki Diamond kusafirisha gari...
25
Diamond kutoana jasho na Burna Boy, Asake, Trace Music Award
Moja ya tukio ambalo linasubiriwa kwa hamu Zanzibar kisiwani Unguja ni ugawaji wa Tuzo za Trace ambazo zinatarajiwa kutolewa kesho Februari 26,2025.Tukio hilo ambalo lilianza ...
17
Mwana Fa: Hakuna Mtawala Kwenye Sekta Ya Uchekeshaji
Kuelekea siku ya ugawaji wa tuzo za Tanzania Comedy Award Tarehe 22 Februari 2025, Naibu waziri wa Habari tamaduni sanaa na michezo Hamis Mwinjuma, Mwana FA amesema tukio hilo...
15
Leo Ni Siku Ya Wasiokuwa Na Wapenzi Duniani
Endapo jana Februari 14 ulikosa raha kwa sababu wengi walisherehekea siku ya wapendanao kwa kupokea zawadi, ujumbe wa mahaba au kwenda matembezi na wenza wao, wakati wewe haun...

Latest Post