20
Harmonize Asherehekea Kufikisha Views Bilion Moja
Msanii wa Bongo Fleva Harmonize amefanikiwa kutazamwa zaidi ya mara bilioni moja kwenye mtandao wake wa Youtube.Harmonize alianza kuweka maudhui ya muziki kwenye channel yake ...
08
Kwenye Suala La Kazi Wizkid Hana Kipengele
Moja ya jambo ambalo limeibua mijadara mingi katika mitandao ya kijamii ni kuhusiana na mwanamuziki Wizkid kuongoza (Director) mwenyewe video ya wimbo wake uitwao ‘Kese&...
06
Mbinu Aliyotumia Rayvanny Kuondoka WCB Bila Maneno
Mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini Raymond Mwakyusa ‘Rayvanny’ amefichua mbinu aliyotumia kuondoka lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB) bila drama yoyote wala maneno h...
05
Wizkid, Civilian Wampa Heshima Ya Grammy Bob Marley
Mkali wa Afrobeat Wizkid ni miongoni mwa wasanii walioingai kwenye historia ya marehemu mwanamuziki wa reggae Bob Marley baada ya albam ya msanii huyo aliyefariki mwaka 1981 k...
07
Mavokali anavyoiishi ndoto ya baba yake
Na Masoud KofiiMiongoni mwa wasanii wenye vipaji vya kuimba muziki ambavyo Tanzania imebarikiwa ni pamoja na Mavokali ambaye amekuwa akifanya muziki kwa namna ya tofauti. Benj...
25
Davido ajigamba albamu ya Wizkid kubuma
Na Masoud KofiiMwimbaji wa Afrobeats Davido, ameonesha kujigamba baada ya kuendelea kushikilia rekodi ya kuwa msanii pekee aliyeshika nafasi 16 kwenye chati ya nyimbo za juu z...
22
Hii hapa maana ya jina la albumu ya Wizkid
Mwanamuziki wa Nigeria Wizkid ameandika historia nyingine katika tasnia ya muziki wa Afrobeats kwa kuachia albamu yake ya sita leo Novemba 22, 2024 iitwayo ‘Morayo&rsquo...
09
Diamond agonga mwamba tena Tuzo za Grammy
Licha ya ngoma ya ‘Komasava’ kufanya vizuri duniani kote lakini msanii Diamond Platnumz amegonga mwamba dhidi ya mastaa kutoka Nigeria katika kuwania tuzo za Gramm...
25
Nicki Minaj asimama na Wizkid
Mwanamuziki wa Marekani Nicki Minaj ameeleza kuwa wimbo wa mkali wa Afrobeat Wizkid ‘Essence’ unastahili kushinda tuzo ya Grammy kutokana na ubora wake.Rapa huyo a...
27
Illbliss: Burna Boy, Davido na Wizkid ni Ma-Rapa
‘Rapa’ na mwigizaji Tobechukwu Ejiofor, maarufu kama Illbliss, amezua mjadala kwenye mitandao ya kijamii baada ya kudai kwamba Burna Boy, Davido, na Wizkid ni ma-r...
17
Nicki Minaj aachia kionjo kolabo yake na Wizkid
Mwanamuziki wa Marekani Nicki Minaj amecheza kionjo cha nyimbo aliyorekodi na mkali wa Afrobeat kutoka Nigeria Wizkid.Minaj ameshare kionjo cha ngoma hizo wakati alipokuwa liv...
01
Tolani adai kutishiwa maisha na mashabiki wa Wizkid
Mwingizaji na nyota wa Big Brother Naija, kutoka nchini Nigeria, Tolani Baj amedai kutishiwa maisha na mashabiki wa #Wizkid. Tolani ameyasema hayo katika kipindi cha ‘Ba...
25
Wizkid: Sasa nampenda mungu, Sina chuki na mtu
Baada ya bifu la mwanamuziki Wizkid na Davido kulindima kwa wiki kadha, hatimaye Wizkid amedai kuwa kwa sasa anampenda Mungu na hana chuki na mtu yeyote. Wizkid ameyasema hayo...
12
Skales amchana wizkid
Rapa wa Nigeria #Skales amemtolea povu mkali wa Afrobeats #Wizkid baada ya kudai kuwa muziki wa Hip-hop umekufa. Skales ametoa povu wakati alipoulizwa swali juu ya Wiz kudai m...

Latest Post