12
Davido Bila Chioma Hatoboi Kwenye Muziki
Peter AkaroMkali wa Afrobeats kutokea Nigeria, Davido amefunguka kuhusu nguvu kubwa ya ushawishi aliyonayo mkewe Chioma katika maisha yake binafsi na kazi yake ya muziki na ku...
12
Fat Joe: Breezy Asingempiga Rihanna Angekuwa Kama Mj
Rapa kutoka Marekani ameeleza kuwa mwanamuziki Chris Brown kama asingemfanyia vurugu na kuwafanya mashabiki wamchukie kwa kitendo chake basi angekuwa katika kiwango ambacho al...
12
Ujumbe Wa Mashabiki Kwa Marioo
Kama ni shabiki kindaki ndaki wa msanii Marioo utagundua kuwa wakati alipokuwa akianza muziki alijulikana kupitia ngoma zake za kuumizwa na mapenzi nyimbo ambazo anazifanya kw...
12
Jaivah alivyoikamilisha kolabo ya Wurld na Marioo
Mwanzoni mwa wiki hii msanii wa Afrobeat kutokea nchini Nigeria, Wurld alichapisha video kwenye ukurasa wake wa Instagram ikimuonesha yupo studio na wakali wa Bongo Fleva, Mar...
11
Hali Ya Mwigizaji Bruce Willis Yazidi Kuwa Mbaya
Hali ya mwigizaji maarufu kutoka Marekani Bruce Willis inazidi kuwa mbaya baada ya kuripotiwa kupoteza mawasiliano kabisa kufuatia na ugonjwa unaomsumbua wa Frontotemporal Dem...
11
Shamsa Ford: Manara Usichoke Kuoa
Mwigizaji na mfanyabiashara Shamsa Ford amemtaka aliyekuwa msemaji wa Yanga, Haji Manara asichoke kuoa kwani amekuwa msaada mkubwa kwa wanawake anaofunga nao ndoa.Inawezekana ...
11
Aoa Mbuzi Baada Ya Kuteseka Na Mapenzi Kwa Muda Mrefu
Kijana mmoja kutoka nchini India aliyefahamika kwa jina moja George ameripotiwa kufunga ndoa na Mbuzi baada ya kuvunjika moyo kutokana na mahusiano yake ya nyuma.Inaelezwa kuw...
11
Mashabiki Wajitokeza Kutoa Heshima Za Mwisho Kwa Rubby Perez
Mashabiki, ndugu, jamaa pamoja na wasanii wamejitokeza kutoa heshima za mwisho kwa mwanamuziki Rubby Perez aliyefariki dunia kwa kuangukiwa na paa wakati alipokuwa akitumbuiza...
11
Wolper Atia Neno Ishu Ya Zai Na Manara
Mwigizaji na mfanyabiashara Jacqueline Wolper ametia neno kuhusiana na ishu nzima ya Zaiylissa na Haji Manara kurushiana maneno mitandaoni huku akiwataka kuacha kutoleana siri...
11
Manara Aendelea Na Msimamo Wake
Aliyekuwa mume wa mwigizaji Zaiylisa, Haji Manara ameendelea na msimamo wake wa kutoongea chochote mpaka pale muda sahihi utakapo amua hilo.Kupitia ukurasa wake wa Instagram a...
10
Manara: Siwezi kufanya kiki za mapenzi, msimamo wangu ndio huo
Unaweza kusema haikuwa bahati kwa waliokuwa wakipendanao, Haji Manara na mwigizaji Zaiylissa. Baada ya wawili hao kurushiana maneno kwenye mitandao ya kijamii wakionesha penzi...
10
Dullah Makabila atoa msimamo kinachoendelea ndoa ya Zaiylissa na Manara
Mwanamuziki wa Singeli, Dullah Makabila ameiambia Mwananchi kuwa ameumizwa na taarifa zinazodai mwigizaji Zaiylissa ameachana na m...
09
Aika Awafunda Wanawake Kuhusu Mahusiano
Msanii wa Bongo Fleva ambaye pia ni mshirika wa kundi la muziki la Navykenzo, Aika amewashauri wasichana kutokuwa na matarajio makubwa kutoka kwa wanaume.Aika ameyasema hayo k...
09
Lody Music: Kushuka Kimuziki Hakunisumbui
Mwanamuziki wa Bongo Fleva aliyejizolea umaarufu kupitia wimbo wake ‘Kubali’, Lody Music ameiambia Mwananchi Scoop kuwa anaamini kupanda na kushuka ni sehemu ya ma...

Latest Post