Polisi kutoka nchini Australia wanachunguza kisa kimoja baada ya wanawake wasiopungua 65 kupokea kondomu zilizotumika kwenye bahasha.
Barua hizo, ambazo pia zilikuwa na jumbe ...
Mwili wa Marehemu Bernard Membe tayari umezikwa katika eneo la makaburi ya familia Rondo katika kijiji cha Chiponda mkoani Lindi leo Mei 17, 2023. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa...
Ikiwa ni siku moja tuu imebaki ili timu hiyo iweze kuingia ndimbani kwa ajili ya mchezo wao na mabingwa mara 29 yanga Afrika, wachezaji wa Marumo Gallants ya Afrika Kusini wam...
Serekali nchini Iran imetoa hukumu ya kunyongwa kwa watu watano siku ya jana jumatatu kwa kufanya ulanguzi wa dawa za kulevya kwa kutumia silaha kusini mwa nchi hiyo.
Wa...
Eliud Wekesa maarufu kama Yesu wa Tongaren ameachiwa huru na mahakama baada ya upande wa mashtaka kusema hawana ushahidi wa kuendelea kumshikiria dhidi yake. Tongareni ambae ...
Staa wa muziki kutoka nchini Ghana Faiz Montrage, maarufu kama Hajia4Real, amerudishwa Marekani na kushtakiwa kwa kashfa ya mapenzi ya ulaghai wa dola milioni mbili.
Haj...
Mwanadada hilda kutoka nchini Nigeria amevunja record ya dunia ya Guinness kwakupika masaa 100, mrembo huyo ameivunja record ya masaa 87 na dk 45 iliyokua inashikiliwa na mwan...
Aliekuwa spika wa bunge wa zamani Rachel Ghannouchi na mmoja wa wapinzani wakuu wa Rais Kais Saied mwenye umri wa miaka 81 amehukumiwa na mahakama moja nchini Tunisia si...
Mtafiti mmoja aliefahamika kwa jina la Joseph Dituri kutoka nchini Marekani amevunja rekodi ya dunia baada ya kuishi chini ya maji Zaidi ya siku 75 chini ya rasi ya 30ft-deep ...
Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa ameeleza kwamba msimamo wa nchi yake usio fungamana na upande wowote kuwa haufanyi upendeleo nchi ya Russia dhidi ya mataifa mengine na k...
Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Jerry Silaa amesema William John Malecelea maarufu kama Le mutuz enzi ya uhai wake alikuwa ni mtu aliyependa kusema ukweli nyakati zote na hakuwa mt...
Mpishi kutoka Nigeria, Hilda Effiong Bassey, maarufu kama Hilda Baci, amevunja Rekodi ya Dunia ya Guinness kwa mbio ndefu zaidi za upishi za mtu binafsi.
Mpishi huyo, leo Juma...
Kocha mkuu wa klabu ya Arsenal, Mikel Arteta ameomba radhi mashabiki wa klabu hiyo baada ya kupata kipigo cha mabao 3-0 dhidi ya Brighton siku ya jana jumapili na ...
Ooooiii! Wiki ni kama imeanza kibabe hivi, wacha tuulizane kidogo hivi ulishawahi kutana na mwamba kuwa na mpenzi mmoja kwake ni mtihani na hawezi labda kutokana na muonekano ...