Mwigizaji na mtayarishaji wa filamu kutoka Hong Kong, Jackie Chan alifunguka kuwa moja ya sababu iliyomfanya mwanae kuharibika na madawa ya kulevya ni kutokana na mazingira ya...
Mwigizaji wa Marekani Angelina Jolie alikiri kwamba alikua akivuta sigara pakiti mbili kwa siku kabla ya kuanza mazoezi ya kujiandaa kwa na filamu ya Tomb Raider. Wakati wa ma...
Shirika la kupambana na matatizo ya Moyo Marekani (AHA) limetumia nyimbo za wasanii kama Kendrick Lamar na Beyonce ili kuhamasisha umma mbinu za kuokoa maisha ya watu kupitia ...
Mtoto wa Michael Jordan, Marcus Jordan anatuhumiwa kukutwa na madawa ya kulevya aina ya Cocaine pamoja na kuendasha gari akiwa amelewa.Marcus mwenye umri wa miaka 34, alikamat...
Msanii wa Nigeria Asake ameibua mijadala mtandaoni baada ya kutangaza kuanzisha biashara ya Bangi iitwayo Giran Energy 5K mjini California, Marekani.Asake amethibitisha hilo b...
Mtengeneza maudhui kutoka nchini Marekani Mr Beast ambaye alijulikana zaidi kupitia mitandao ya kijamii baada ya kuzikwa akiwa hai kwa siku saba, ameweka wazi kuwa anashirikia...
Mwanamuziki kutoka Marekani Chris Brown ameonesha kujitoa tangu kuzuka kwa moto katika milima ya Hollywood na sasa ametoa wito kwa serikali kuwapunguzia adhabu wafungwa takrib...
Unaambiwa ngoma ya Peekabo inayopatikana kwenye album mpya ya Kendrick Lamar ilimbidi aimbe mwenyewe kiitikio kwani kila msanii aliyekuwa akipewa aimbe alishindwa kutokana na ...
Katika usiku wa ugawaji wa Tuzo za Grammy mwaka 1984 marehemu mkali wa Pop Marekani, Michael Jackson aliwashangaza wengi baada ya kuvua miwani yake mbele ya umati wa watu.Kama...
Kupanga ni kuchagua hivi ndivyo unaweza sema kwa mwigizaji maarufu wa Marekani, Morgan Freeman, ambaye amechagua hereni zake kuwa msaada siku akifariki dunia. Katika kuchagua ...
Mwigizaji wa Marekani Denzel Washington ametangaza kustaafu kuigiza huku akiweka wazi kuwa Black Panther 3 itakuwa moja ya filamu za mwisho kucheza. Pia kabla ya kustaafu kwak...
Baada ya kugonga mwamba kwa mara kadhaa kuhusiana na kuomba dhamana ya kuachiwa huru huku akisubiria kesi yake ianze kusikilizwa mahakamani, mkali wa Hip hop Marekani Diddy Co...
Mtoto wa mkali wa Hip hop kutoka Marekani, Diddy, Christian Combs, maarufu kama King Combs taratibu ameanza kurithi vitu vya baba yake jambo ambalo liliwashitua mashabiki huku...
Ikiwa imepita wiki moja tangu rapa kutoka jijini Atlanta Marekani, Young Thug kutoka gerezani kutokana na makosa yaliokuwa yakimkabili, hatimaye ameanza kutekeleza adhabu aliz...