12
Marekani Ilivyomuharibu Mtoto Jackie Chan
Mwigizaji na mtayarishaji wa filamu kutoka Hong Kong, Jackie Chan alifunguka kuwa moja ya sababu iliyomfanya mwanae kuharibika na madawa ya kulevya ni kutokana na mazingira ya...
07
Angelina Akiri Kuvuta Sigara Pakti Mbili Kwa Siku
Mwigizaji wa Marekani Angelina Jolie alikiri kwamba alikua akivuta sigara pakiti mbili kwa siku kabla ya kuanza mazoezi ya kujiandaa kwa na filamu ya Tomb Raider. Wakati wa ma...
07
Wimbo Wa Kendrick Lamar, Beyonce Kutumika Kuokoa Maisha
Shirika la kupambana na matatizo ya Moyo Marekani (AHA) limetumia nyimbo za wasanii kama Kendrick Lamar na Beyonce ili kuhamasisha umma mbinu za kuokoa maisha ya watu kupitia ...
05
Mtoto Wa Michael Jordan Akalia Kuti Kavu
Mtoto wa Michael Jordan, Marcus Jordan anatuhumiwa kukutwa na madawa ya kulevya aina ya Cocaine pamoja na kuendasha gari akiwa amelewa.Marcus mwenye umri wa miaka 34, alikamat...
29
Asake Aanzisha Biashara Ya Bangi Marekani
Msanii wa Nigeria Asake ameibua mijadala mtandaoni baada ya kutangaza kuanzisha biashara ya Bangi iitwayo Giran Energy 5K mjini California, Marekani.Asake amethibitisha hilo b...
16
Mr Beast Kushiriki Kuinunua Tiktok Marekani
Mtengeneza maudhui kutoka nchini Marekani Mr Beast ambaye alijulikana zaidi kupitia mitandao ya kijamii baada ya kuzikwa akiwa hai kwa siku saba, ameweka wazi kuwa anashirikia...
10
Breezy Ataka Wafungwa Waliosaidia Kuzima Moto, Wapunguziwe Vifungo
Mwanamuziki kutoka Marekani Chris Brown ameonesha kujitoa tangu kuzuka kwa moto katika milima ya Hollywood na sasa ametoa wito kwa serikali kuwapunguzia adhabu wafungwa takrib...
08
Kilichowashinda wasanii wengine, Kendrick kapita nacho kama upepo
Unaambiwa ngoma ya Peekabo inayopatikana kwenye album mpya ya Kendrick Lamar ilimbidi aimbe mwenyewe kiitikio kwani kila msanii aliyekuwa akipewa aimbe alishindwa kutokana na ...
05
Marehemu MJ alivyotimiza ahadi ya rafiki yake
Katika usiku wa ugawaji wa Tuzo za Grammy mwaka 1984 marehemu mkali wa Pop Marekani, Michael Jackson aliwashangaza wengi baada ya kuvua miwani yake mbele ya umati wa watu.Kama...
20
Hereni za Morgani ni maandalizi ya kifo chake
Kupanga ni kuchagua hivi ndivyo unaweza sema kwa mwigizaji maarufu wa Marekani, Morgan Freeman, ambaye amechagua hereni zake kuwa msaada siku akifariki dunia. Katika kuchagua ...
13
Huyu ndiye Denzel Washington usiyemfahamu
Mwigizaji wa Marekani Denzel Washington ametangaza kustaafu kuigiza huku akiweka wazi kuwa Black Panther 3 itakuwa moja ya filamu za mwisho kucheza. Pia kabla ya kustaafu kwak...
09
Diddy aomba dhamana kwa mara nyingine
Baada ya kugonga mwamba kwa mara kadhaa kuhusiana na kuomba dhamana ya kuachiwa huru huku akisubiria kesi yake ianze kusikilizwa mahakamani, mkali wa Hip hop Marekani Diddy Co...
07
Mtoto wa Diddy aanza kurithi vitu vya baba yake
Mtoto wa mkali wa Hip hop kutoka Marekani, Diddy, Christian Combs, maarufu kama King Combs taratibu ameanza kurithi vitu vya baba yake jambo ambalo liliwashitua mashabiki huku...
07
Baada ya kutoka jela Young Thug aanza na hili
Ikiwa imepita wiki moja tangu rapa kutoka jijini Atlanta Marekani, Young Thug kutoka gerezani kutokana na makosa yaliokuwa yakimkabili, hatimaye ameanza kutekeleza adhabu aliz...

Latest Post