Mwili wa aliyekuwa mwigizaji wa filamu nchini, Raidanus Vitalis ‘Kitundu’ unatarajiwa kuzikwa kesho Alhamisi Juni 26, 2025...
Baada ya zaidi ya wiki sita za ushahidi mzito dhidi ya nyota wa muziki wa hip-hop, Sean “Diddy” Combs, sasa kesi hiyo imef...
Kampuni inayohusika na kuonesha filamu ya ‘Squid Game’, Netflix imethibitisha hitimisho ‘Final’ ya filamu hiyo...
Mwigizaji wa Jua Kali Raidanus Vitalis ‘Kitundu’ amefariki dunia Juni 24,2025.Taarifa za kifo chake zimetolewa na mzalisha...
Mzalishaji na mwongozaji wa tamthilia ya ‘Jua Kali’, Leah Mwendamseka 'Lamata' ameelezea alivyopokea taarifa za ...
Mavazi na mitindo ya 'fashion' hubadilika haraka, na kile kilichokuwa maarufu jana, leo kinaweza kuonekana cha kupitwa na wa...
Jana Machi 23, 2025 picha ya mkali wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz ilisambaa kwenye mitandao ya kijamii huku ikiwashangaza wengi kuto...
Cappuccino ni kinywaji cha kahawa chenye vipimo sawa vya espresso, maziwa ya moto, na maziwa yaliyopigwa (milk foam). Kinywaji hicho k...
Mahakama ya jijini Manhattan imeendelea na kesi ya Sean “Diddy” Combs ambapo kwa sasa inaelezwa kesi hiyo ipo ukingoni huk...
Mwanamuziki wa Singeli, Mussa Ramadhan maarufu ‘Dj Mushizo’ amefikisha wiki ya pili akiwa hospitali kutokana na ajali ya m...
Kabla ya kung’ara kwenye majukwaa makubwa na kuteka chati za muziki duniani kote, mwanamuziki Asake alianza kujitafuta katika sa...
Issa Matona. Mishangazi na midingi inamjua. Mwamba kutoka Visiwani. Alikuwa ni mwanamuziki wa taarabu. Lakini taarabu yake ilikuwa tof...
Mwigizaji maarufu kutoka Uingereza mwenye asili ya Nigeria, Damson Idris, ameendelea kupenya katika tasnia ya filamu ya Hollywood, hii...
Kizazi kipya wengi hawana elimu. Inayohusu jinsi ya kuishi kwenye ndoa. Ndo maana ‘deile’ ndoa zinavunjika kama biskuti il...
Mahakama ya juu nchini Marekani imekataa kusikiliza kesi iliyodai kwamba wimbo wa Ed Sheeran kutokea Uingereza, Thinking Out Loud (201...
Mwanamuziki wa R&B kutoka Marekani, Robert Sylvester Kelly maarufu R. Kelly, ameripotiwa kuzua vurugu za kupiga kelele na kulia ak...
Derek Dixon amemfungulia mashitaka muigizaji mwenzake na mtayarishaji maarufu wa filamu kutoka nchini Marekani, Tyler Perry kwa madai ...
Mwanamuziki Diamond Platnumz tayari amemaliza ziara yake nchini Uingereza baada ya kupiga shoo tatu kwenye miji mikubwa nchini humo am...
Wakati kesi ya rapa kutoka Marekani ikiendelea kuunguruma mahakamani, jana Jumatatu Juni 16, 2025, majaji walishuhudia vipande vya vid...
Mwanamuziki nguli wa RnB kutoka Marekani, R. Kelly, ameripotiwa kukimbizwa hospitalini baada ya kupoteza fahamu akiwa ndani ya chumba ...