Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeanzisha mpango wa kusaidia wasanii wanaokabiliwa na uraibu wa dawa za kulevya, lengo likiwa ni kuwasaidia kupona...
Mwanamuziki wa Hip-hop nchini Bando Mc ameweka wazi kuwa wapo mastaa wakubwa ambao waliwahi kumtumia kabla hajajipata katika muziki.Akizungumza na Mwananchi Scoop amesema alip...
Ni wazi kumekuwa na makundi mengi ya muziki ambayo yamevunjika, sio tu Tanzania bali hata sehemu nyingine mfano kundi la P-Square lililokuwa likiundwa na ndugu wa...
Mwanamuziki wa K-Pop kutoka Korea Kusini, Wheesung, anaripotiwa kukutwa amefariki nyumbani kwake jana Jumatatu Machi 11, 2025. Huku polisi wakichunguza sababu ya kifo chake am...
Mkali wa Afrobeat kutoka Nigeria, Yemi Alade amefunguka kuwa amekosa tuzo nyingi kutokana na kukataa kutoa rushwa ya ngono.Wakati alipokuwa kwenye moja ya mahojiano yake Yemi ...
Mwanamuziki wa Nigeria Paul Okoye ‘RudeBoy’ wa P-Square amesema pacha wake Peter ‘Mr P', ndiye aliyehusika kumuweka gerezani kaka yao mkubwa Jude Okoye. Aliy...
Marehemu mfalme wa muziki wa Pop kutoka Marekani, Michael Jackson ‘MJ’ mara zote alipokuwa akipanda jukwaani alionekana wa kuvutia kuanzia mavazi, na hata miondoko...
Shirika la kupambana na matatizo ya Moyo Marekani (AHA) limetumia nyimbo za wasanii kama Kendrick Lamar na Beyonce ili kuhamasisha umma mbinu za kuokoa maisha ya watu kupitia ...
Watumiaji wa Akili Bandia (AI) katika mitandao yao ya kijamii kama vile WhatsApp, Instagram na Facebook Messenger wataweza kutunza taarifa zao binafsi ambazo wataziweka katika...
Msanii wa Nigeria Asake ameibua mijadala mtandaoni baada ya kutangaza kuanzisha biashara ya Bangi iitwayo Giran Energy 5K mjini California, Marekani.Asake amethibitisha hilo b...
Shirika la upelelezi Marekani (FBI) imefanya ukaguzi nyumbani kwa aliyekuwa mume wa mwigizaji Jennifer Lopez, Ben Affleck, hii ni baada ya maafisa hao kuonekana wakitoka nyumb...
Baada ya Jackline Wolper kutoa taarifa za kuachana na Mume wake kupitia mitandao ya kijamii, Rich Mitindo ameshea videos na picha zikimuonesha amerejea nchini Tanzania akitoke...
Uzuri au ubaya wa sanaa ya maigizo hubebwa na stori au wahusika wanaowasilisha maudhui katika kazi hiyo. Wakati mwingine wahusika huvaa uhalisia hadi kupelekea jamii kuamini n...
Mwanamuziki kutoka nchini Canada ambaye makazi yake ni Marekani The Weeknd ameingia kwenye vichwa vya habari mbalimbali baada ya kuripotiwa kulipia mabango katika nchi mbalimb...