Mjukuu wa Mfalme kutoka Dubai, Sheikh Hamdan Bin Mohammed Bin Rashid Al Maktoum, aliwahi kuwavutia watu wengi huku akipokea pongeze kede kede baada ya kuacha kutumia gari yake...
Mtoto wa Michael Jordan, Marcus Jordan anatuhumiwa kukutwa na madawa ya kulevya aina ya Cocaine pamoja na kuendasha gari akiwa amelewa.Marcus mwenye umri wa miaka 34, alikamat...
Msanii wa muziki wa Injili, nchini Goodluck Gozbert amezua gumzo katika mitandao ya kijamii, baada ya kuchoma moto gari alilopewa na mmoja wa Manabii waliopo nchini huku akida...
Na Peter AkaroStaa wa Bongofleva, Nandy tayari ametangaza ujio wa albamu yake ya pili ambayo inatarajiwa kutoka mwaka huu ikiwa ni miaka tisa tangu alipotoka kimuziki na kibao...
Baada ya mwigizaji nguli wa Bollywood kutoka India Saif Ali Khan kufanyiwa upasuaji wa dharura baada ya kushambuliwa na jambazi na kuchomwa kisu, hatimaye madakatari wameweka ...
Mwanamuziki anayefanya vizuri ndani na nje ya nchi Diamond ameripotiwa kuingiza mkwanja mrefu kupitia mtandao wa kusikiliza na kutazama muziki wa YouTube.Kwa mujibu wa mtandao...
Albamu ya A Father Figure kutoka kwa mkali wa Hip Hop, Dizasta Vina iliyotoka Januari 6, 2024 ikiwa imeshiba ngoma kama Theluji, Nobody is safe 5, Hatia VI, Not A Hero, Chupa ...
Albamu maarufu ya SZA inayofahamika kama SOS imerudi tena kwa kishindo ambapo imeshika nafasi ya kwanza katika chati ya Billboard 200, ikiwa ni miaka miwili tangu kuachiwa kwa...
African Giant albamu kutoka kwa Burna Boy bado inasumbua kwenye kiwanda cha muziki Afrika baada ya kuweka rekodi mpya ya kuwa album ambayo imesikilizwa zaidi kwenye kwenye mta...
Msanii wa filamu na mfanyabiashara Tausi Mdegela anasema kutokana na kimo chake kifupi, kuna baadhi ya watu katika jamii na mitandao wanaona hastahili kufanya baadhi ya vitu.H...
Mwanamke mmoja kutoka Canada mwenye umri wa miaka 60 aitwaye DonnaJean Wilde, ameweka rekodi ya dunia kwa kupiga push-up nyingi zaidi ndani ya saa moja.Kwa mujibu wa kitabu ch...
Rapa Daniel Hernandez maarufu 6ix9ine amerudishwa jela kwa siku 30 baada ya kukiuka masharti ya kifungo cha nje alichopewa na Mahakama mwaka 2019.
Mahakama imechukua ha...
Mastaa mapacha wa shoo ya uhalisia 'Reality Show Big Brother Naija’ kutoka Nigeria Wanni na Handi Danbaki wameweka wazi namna ambavyo wanaume wanawasumbua kwa kuwatongoz...
Kuna methali isemayo mdharau mwiba mguu huota tende msemo huu umesadiki katika baadhi ya biashara ambazo watu wengi wamekuwa wakizichukulia poa lakini ndiyo hizo hizo ambazo z...