Msanii wa Afrobeat kutokea nchini Nigeria anaripotiwa kuja na biashara yake nyingine ya mavazi mwezi ujao.Kwa mujibu wa taarifa zinazo ripotiwa na vyombo vya habari nchini hum...
Mwanamitandao na mtiririshaji wa maudhui kupitia mtandao wa YouTube Ishow Speed amejikuta akiumizwa baada ya kuingia kwenye ulingo wa mieleka wa WWE Royal Rumble 2025 na kuond...
Mkali wa Bongo Fleva kutoka TMK Wanaume Family, Chege kwa miaka zaidi ya 20 ametengeneza nyimbo nyingi kubwa ndani ya kundi hilo na akiwa pekee yake akifanya kazi na wasanii w...
Huu wimbo umemtia Diamond hasara tu!Staa wa Bongofleva kutokea WCB Wasafi, Diamomd Platnumz ameshirikiana na wasanii wengi wa kimataifa ambao wameikuza na kuitangaza chapa yak...
Mwandishi Wetu, Mwananchi
Miaka 12 iliyopita, msanii Naseeb Abdul 'Diamond aliwahi kueleza Bila malipo ya Sh 10 Milioni hafanyi kolabo.
Hiyo ilikuwa ni Juni 6, 2012, wa...
Ndivyo tunaweza kusema kufuatia Diamond Platnumz kuendelea kuwa kinara wa mambo mengi katika tasnia ya muziki hasa wa Bongofleva ambao umempatia mashabiki wengi tangu mwaka 20...
Muziki wa miondoko ya taratibu Kompa Flava umeripotiwa kuwa na ushawishi mkubwa katika muziki wa Bongo Fleva huku ukiiteka jamii kutokana na muundo wake wa kipekee.Kwa mujibu ...
Mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini Anjella ameweka wazi kuwa kwa sasa anaacha kabisa kuimba nyimbo za Bongo Fleva huku akidai kuwa anarudi kumtumikoa Mungu.“Bye Bye Bongo...
Msanii wa Hip Hop Bongo, Nay wa Mitego alikuja na mtindo wa aina yake kwenye muziki kwa kukosoa wasanii wengine na baadhi ya mambo kwenye tasnia jambo lililompatia umaarufu ku...
Kauli ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Prof Palamagamba Kabudi kuhusu kuwekeza nguvu kwenye muziki wa singeli imewakosha wasanii wa muziki huo huku wakimuomba ...
Aliyekuwa msanii wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee, ameweka wazi kutorudia kufanya muziki wa kidunia huku akiuhusisha na masuala ya kishetani.Vanessa ameyasema hayo alipokuwa akifa...
Tangu ametoka kimuziki Marioo amekuwa na mwendelezo wa kufanya vizuri ukiwa ni mwaka wa sita sasa kitu ambacho kimewashinda wasanii wengi ambao huvuma kwa muda kupitia nyimbo ...
Mwanamuziki wa nyimbo za injili nchini Joel Lwaga ameendelea kuonesha ubabe wake kwenye mtandao wa kusikiliza muziki wa Apple Music kwa kuendelea kushika namba moja kwa wiki t...