Mkali wa Bongo Fleva na mmiliki wa Kings Music, Alikiba ameweka wazi hali yake ya mahusiano ya kimapenzi kwa sasa.King ameyasema hayo alipokuwa akifanya mahojiano na waandishi...
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Alikiba ameeleza kwa mara ya kwanza, nini kilisababisha aondoke bila kutumbuiza kwenye usiku wa tuzo za Trace zilizotolewa Zanzibar Februari 2...
Mwigizaji wa filamu nchini, Hawa Hussein Ibrahim (Carina), amefariki dunia leo Aprili 15,2025 akiwa nchini India alikoenda kupatiwa matibabu ya tumbo.Taarifa ya kifo chake ime...
Mwanamuziki Peter Okoye ‘Mr P’ ambaye alikuwa mmoja wa wasanii katika kundi la P-Square, ameibua taharuki baada ya kuwa shahidi katika kesi ya kaka yake Jude Okoye...
Mwanamuziki wa Marekani, Sean Kingston ametupwa jela baada ya kushindwa kulipa dhamana ya dola 100,000 zaidi ya Sh 266 milioni, ambayo ingemfanya asiwekwe ndani wakati akisubi...
Msanii wa muziki wa hip-hop nchini, Conboi ambaye kwa sasa anatamba na ngoma ya 'Tilalila' aliyomshirikisha Marioo, ameelezea sababu ya kuchelewa kutoka kwa wimbo hu...
Tombwe Njere ambaye ni mama mzazi wa mkali wa Bongo Fleva, Alikiba, ameeleza historia ya jina la nyota huyo. Huku akiweka wazi kuwa jina “Kiba” halikutokea kwa bah...
Alianza kama msanii wa Rap kama ilivyokuwa kwa Aika wa Navy Kenzo, Lady Jaydee, Diamond Platunumz, Dayna Nyange na wengineo, baadaye akageukia uimbaji hadi kuivutia WCB Wasafi...
Alifanya vizuri tangu alipoibuka Mkubwa na Wanae kupitia Yamoto Band na akaendelea kutamba baada ya kusainiwa na WCB Wasafi, kwa kipindi chote Mbosso amejikusanyia mashabiki k...
Mkurugenzi wa Kampuni ya Look inayoendesha mashindano ya kumsaka Miss Tanzania, Basila Mwanukuzi amesema Miss Tanzania 2023, Tracy Nabukeera hajajitoa kushiriki Miss World 202...
Mwigizaji Chuchu Hancy amekanusha taarifa zinazoendelea kusambaa kwenye mitandao ya kijamii zikidai amefariki dunia.Taarifa ya Chuchu kufariki ilichapishwa na mtumiaji wa mtan...
Aiseee! Hapana hii sasa imekuwa ‘tuu machi’ kwa wasanii wetu. Hivi hawa wamerogwa wajiimbie mapenzi tu? Wamerogwa wacheze tamthiliya na filamu za mapenzi tu? Wamer...
Majina ya mwanamuziki Jay Z na mke wake Beyonce yameondolewa katika kesi ya Diddy ambayo imefunguliwa mapema mwezi huu, kesi ambayo inahusiana na usafirishaji haramu wa binada...
Baada ya kufanya balaa kubwa nchini Tanzania katika harusi yao na sasa kumeanza kuchangamka nchini Nigeria kufuatia na muendelezo wa shughuli ya mwanamuziki Jux na mpenzi wake...