Kwenye ulimwengu wa mapenzi, inaonekana nyota wengi wa mpira wa miguu wanavutiwa zaidi na wanamitindo. Na hii siyo tu kwa Aziz Ki ambaye Februari 16, 2025 alifunga ndoa na mwa...
Mwili unapokosa kinga imara, unakuwa katika hatari ya kushambuliwa na kila aina ya magonjwa, lakini nanasi lina sifa ya kukabiliana na hali hiyo.
Nanasi ni moja kati ya...
Wakiwa na miezi sita tu tangu kuweka wazi uhusiano wao, Jux na Priscilla Ojo ‘Hadiza’ wamekuwa wakitoa somo zuri kwa mashabiki na wadau wa Bongo kuhusiana na maana...
Kati ya watu ambao wamepata umaarufu kwenye mitandao ya kijamii nchini Tanzania, kutokana na mbwembwe walizofanya kwenye harusi ya msanii Jux na mkewe Priscilla ‘Hadiza&...
Mwandishi Wetu, Mwananchi
Miaka 12 iliyopita, msanii Naseeb Abdul 'Diamond aliwahi kueleza Bila malipo ya Sh 10 Milioni hafanyi kolabo.
Hiyo ilikuwa ni Juni 6, 2012, wa...
Mkali wa Hip-Hop kutoka Marekani, Diddy Combs anakabiliwa na kesi nyingine ya madai ya unyanyasaji wa kingono yanayodaiwa kufanyika mwaka 2000.Kwa mujibu wa hati zilizopatikan...
Na Ammar MasimbaAsilimia kubwa ya wasanii wanaochipukia na hata wale walioko tayari kwenye gemu ya muziki hawajui jinsi ya kufanya biashara ya kusambaza kazi zao. Hali hii ime...
Tukiwa tumebakiwa na masaa machache tu kwenda kuumaliza mwaka 2024 na kuingia mwaka 2025 huku kila mtu akiwa na malengo yake anayotamani kuyatimiza mwakani, hivyo basi utafiti...
African Giant albamu kutoka kwa Burna Boy bado inasumbua kwenye kiwanda cha muziki Afrika baada ya kuweka rekodi mpya ya kuwa album ambayo imesikilizwa zaidi kwenye kwenye mta...
Ni ukweli usiopingika Yammi ambaye ni first born wa lebo ya The African Princess ya kwake Nandy ni mmoja kati ya wasanii wa kike Bongo wanaofanya vizuri tangu alipotambulishwa...
Nyota wa timu ya taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo ambaye kwa sasa anakipiga katika klabu ya Al-Nassr, ameripotiwa kuwa huwenda akashiriki Kombe la Dunia mwaka 2030.Kwa mujibu ...
Penzi likiwa la masharti linanifanya niwe mento
Penzi lako la mgao utafikiri Tanesco,
Sideti na vivlana nadate na wanaume wanaojitambua zaidi ya Neto,
Mimi sio shirika la misa...
Baada ya mwanamuziki kutoka Kenya na mzazi mwenzie na msanii Diamond, Tanasha Donna kukoment utani kwenye moja ya video ya Harmonize, hatimaye Konde amefunguka ukaribu wake na...
Kwa mujibu wa utafiti uliochapishwa katika jarida la ‘Archives of Behavior’ umebaini kuwa wanaume wenye ndevu ni waaminifu huku wakiripotiwa kudumu kwenye mahusian...